Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,883
Hakuna udhaifu mkubwa kwa kiongozi kama kuruhusu wapiga kelele kukuyumbisha, Kosa kubwa la JK ni kumteua PINDA ambaye hana misimamo ni weak sana yaani anaboa ningekuwa JK ningemfukuza na kumuomba astaaf hadi ubunge.
Anaboa sana PINDA.
Pinda ndio chanzo cha matatizo serikalini. Hivi hakuna wanajeshi bungeni wapewe hii nafasi!
Kikwete alimteua Picha kwa sababu hiyo, vinginevyo asingekubali Lowasi Jabali ajiuzuru. Sababu hiyo ndiyo inayomfanya Pinda abaki kwa vile yuko tayari kwa ile kitu ya utwa na utwana.