Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Ni vema afanye jambo hili la aibu ili sisi tupate advantage ya kuwakomboa wenzetu walioko utumwani kwenye yale majimbo yaliyo chini ya utawala wa CCM.
Hakuna udhaifu mkubwa kwa kiongozi kama kuruhusu wapiga kelele kukuyumbisha, Kosa kubwa la JK ni kumteua PINDA ambaye hana misimamo ni weak sana yaani anaboa ningekuwa JK ningemfukuza na kumuomba astaaf hadi ubunge.
Anaboa sana PINDA.
Pinda ndio chanzo cha matatizo serikalini. Hivi hakuna wanajeshi bungeni wapewe hii nafasi!
Jifunze nidhamu mtoto wa kike utakosa mchumba!hivi hakuna jinsi yoyote ya kumwadabisha huyu jamaa?
Baada ya Kikwete (kupitia Pinda) kutangaza hapo kesho kwamba hakuna waziri atakayejiuzulu kutokana na sakata linaloendelea, Mkuu huyo wa Kaya atakutana na Wazee wa Mkoa wa Dar es Sakaam siku ya J'nne Ukumbi wa Diamond kuwashitaki Wabunge wachache wa CCM wasaliti walioshirikiana na wale wa upinzani kutaka kuiyumbisha serikali yake.
Mada kuu itakuwa ni kwamba serikali yake haiendeshwi kwa kushinikizwa.
Mwenyekiti wa Wazee ambaye anabeba tuhuma lukuki za ufisadi na ambaye hakuna chombo cha dola kinachodiriki kumgusa -- Iddi Simba ndiye atakayempokea rasmi rasmi JK ukumbini pale.
Nataka kutapika!!!!!
Mkuu Daudi, alikuja mkapa ametumwa na wakuu tanganyika na amewaomba waheshimiwa hapa walinde muungano kwa makubaliano kuwa watapata benefit zaidi toka tanganyika. naona SUK inaanza kutekeleza makubaliano hayo.issue yenu ya kupinga muungano mmefikia wapi??
Hakuna udhaifu mkubwa kwa kiongozi kama kuruhusu wapiga kelele kukuyumbisha, Kosa kubwa la JK ni kumteua PINDA ambaye hana misimamo ni weak sana yaani anaboa ningekuwa JK ningemfukuza na kumuomba astaaf hadi ubunge.
Anaboa sana PINDA.
Pinda ndio chanzo cha matatizo serikalini. Hivi hakuna wanajeshi bungeni wapewe hii nafasi!
hivi hakuna jinsi yoyote ya kumwadabisha huyu jamaa?
Mazishi ya President Bingu wa Mutharika ni kesho, na ilisemekana atakwenda