JK kukutana na Wazee wa Mkoa wa Dar J'nne kuwaeleza serikali yake haiendeshwi kwa kushinikizwa

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
233
Baada ya Kikwete (kupitia Pinda) kutangaza hapo kesho kwamba hakuna waziri atakayejiuzulu kutokana na sakata linaloendelea, Mkuu huyo wa Kaya atakutana na Wazee wa Mkoa wa Dar es Sakaam siku ya J'nne Ukumbi wa Diamond kuwashitaki Wabunge wachache wa CCM wasaliti walioshirikiana na wale wa upinzani kutaka kuiyumbisha serikali yake.
Mada kuu itakuwa ni kwamba serikali yake haiendeshwi kwa kushinikizwa.

Mwenyekiti wa Wazee ambaye anabeba tuhuma lukuki za ufisadi na ambaye hakuna chombo cha dola kinachodiriki kumgusa -- Iddi Simba ndiye atakayempokea rasmi rasmi JK ukumbini pale.

Nataka kutapika!!!!!
 
Baada ya Kikwete (kupitia Pinda) kutangaza hapo kesho kwamba hakuna waziri atakayejiuzulu kutokana na sakata linaloendelea, Mkuu huyo wa Kaya atakutana na Wazee wa Mkoa wa Dar es Sakaam siku ya J'nne Ukumbi wa Diamond kuwashitaki Wabunge wachache wa CCM wasaliti walioshirikiana na wale wa upinzani kutaka kuiyumbisha serikali yake.
Mada kuu itakuwa ni kwamba serikali yake haiendeshwi kwa kushinikizwa.

Mwenyekiti wa Wazee ambaye anabeba tuhuma lukuki za ufisadi na ambaye hakuna chombo cha dola kinachodiriki kumgusa -- Iddi Simba ndiye atakayempokea rasmi rasmi JK ukumbini pale.

Nataka kutapika!!!!!

Ina maana haendi tena kwenye mazishi ya B. Mutharika kesho?
 
Marksman,

Sipendi kuamini Rais Kikwete anaweza kufanya mambo ya hovyo kiasi hicho.Tafadhali tumpatie Rais wetu heshima anayostahili na ikiwezekana tumsaidie amalize awamu yake salama mambo ya kumzushia kwamba atakutana na wazee wa Dar ni siasa za maji taka.


Baada ya Kikwete (kupitia Pinda) kutangaza hapo kesho kwamba hakuna waziri atakayejiuzulu kutokana na sakata linaloendelea, Mkuu huyo wa Kaya atakutana na Wazee wa Mkoa wa Dar es Sakaam siku ya J'nne Ukumbi wa Diamond kuwashitaki Wabunge wachache wa CCM wasaliti walioshirikiana na wale wa upinzani kutaka kuiyumbisha serikali yake.
Mada kuu itakuwa ni kwamba serikali yake haiendeshwi kwa kushinikizwa.

Mwenyekiti wa Wazee ambaye anabeba tuhuma lukuki za ufisadi na ambaye hakuna chombo cha dola kinachodiriki kumgusa -- Iddi Simba ndiye atakayempokea rasmi rasmi JK ukumbini pale.

Nataka kutapika!!!!!
 
akifanya hivyo akieleza hivyo atakua ni rais mwehu katika sayari ya dunia!wazee si ndio mtaji wa ccm kwa sasa
 
Mi nataka kujua kuwa hao Wazee wa Dar (Wana magamba wenzake) ndio washauri zake au wao ndio waliowaambia NEC wampitishe? Huyu Kikwete naona uzee unamjia vibaya hata kwenye manufaa ya Taifa yeye analeta ujinga na upumbavu wa maneno ya kejeli.:mad2:
 
Ooh...oooh!!
Kama kweli, huyu mtu hazimtoshi. Wanaoshinikiza kwani hawana sababu au wamekurupuka tu. Haya labda hao wazee ndio wawakilishi wetu.

Vijana tuangalie namna ya kwenda. Hawa wazee wa ndio na ambao kwa kiasi kikubwa washapoteza tumaini hawatakiwi kutuamulia mambo yetu. Vijana ukiondoa matatizo mengine, tuna muda mrefu wa kuishi. Uozo unaondelea sasa ni mzigo kwetu siku za mbeleni na mengine tunayaona sasa.
Tuseme yatosha.
Hao wazee wanatutegemea sisi.
Tuamue.
 
Sidhani kama anaweza kufanya kitu kama hicho, na kama akifanya atakuwa wa kwanza ku-officiate mwanzo wa mwisho wa CCM.
 
Ni vigumu kufanya hivyo (kuanza kupingana na wapunge wake, badala ya kuziba ufa kwa kutumia cement atakuwa anatomia nyundo hivyo kuzidi kubomoa..

suntzu6_1024.jpg
 
Marksman,

Sipendi kuamini Rais Kikwete anaweza kufanya mambo ya hovyo kiasi hicho.Tafadhali tumpatie Rais wetu heshima anayostahili na ikiwezekana tumsaidie amalize awamu yake salama mambo ya kumzushia kwamba atakutana na wazee wa Dar ni siasa za maji taka.

Mkuu Ngongo - heshima mbele. Huenda mtoa mada ana nia ya kumshawishi JK kutochukua hatua hiyo ya kijinga, yaani ya kukutana na wazee. Ni kama vile anajaribu kum-preempt asiende huko.

Ni mtazamo tu.
 
Hakuna udhaifu mkubwa kwa kiongozi kama kuruhusu wapiga kelele kukuyumbisha, Kosa kubwa la JK ni kumteua PINDA ambaye hana misimamo ni weak sana yaani anaboa ningekuwa JK ningemfukuza na kumuomba astaaf hadi ubunge.
Anaboa sana PINDA.
Pinda ndio chanzo cha matatizo serikalini. Hivi hakuna wanajeshi bungeni wapewe hii nafasi!
 
Kama ni kweli Mkuu wa Kaya anakutana na Wazee wa Dar kuongelea ishu ya Mawaziri kutojiuzulu binafsi nitamuona mtu wa ajabu. Watanzania tuna uwezo wa kumuwajibisha yeye kama Mkuu wa Kaya 1. ni kupitia wabunge wetu kwa kuanzia ni kupiga kura ya kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu hivyo Rais atalazimika kuvunja baraza la mawaziri 2. Ni kwa wabunge huko mbeleni kupiga kura ya kutokuwa na Imani na Mkuu wa Kaya 3. Ni kupitia chaguzi ndogo kutopigia kura wabunge/madiwani toka chama chake.... By ze way hii stori ina ukweli coz najua anaenda kuzika MALAWI au ndo atamtuma Makamu a.k.a MZEE WA MIKASI "KIBABU" amelegea kama mlenda sijui hata mikasi anapigaje? labda kama anapigwa yeye?
 
Back
Top Bottom