Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,140
- 13,215
Usemi wa mnyonge mnyongeni haki yake mpeni unaendana hapa..twende mbele turudi nyuma lakini ada ya mja hunena uungwana ni vitendo..hii ni positive move ya demokratisation katika Tanzania na huenda tuione kwa jinsi ya fumbo sasa lakini itaingia katika historia ya wengi.............naiona njozi ya Katiba shirikishi ambayo itakidhi matakwa ya wengi kutokana na jinsi utashi wa serikali yetu unavyojitokeza katika hili................(kama mmegundua ni kama Big Bhang, wakati JK anakutana na wanasiasa, Mkulima anakutana na Viongozi wa Dini, sijajua kama wanaharakati watakuwemo But naamini watajumuishwa)
Angalizo langu; isije kuwa ni kiini macho tu au danganya toto.....pamoja na salamu za kumtakia heri katika mchakato mzima na kumpongeza kwa hatua aliyofikia lakini namtaka Rais wangu achukue all the best na kuacha all the rest katika mchakato huu hususam mawazo mazuri ambayo atapewa na wanasiasa wenzake ili tuione na kuithibitisha nia ya dhati aliyokuwa nayo...........vinginevyo tutaona chenga tu!!!!
Angalizo langu; isije kuwa ni kiini macho tu au danganya toto.....pamoja na salamu za kumtakia heri katika mchakato mzima na kumpongeza kwa hatua aliyofikia lakini namtaka Rais wangu achukue all the best na kuacha all the rest katika mchakato huu hususam mawazo mazuri ambayo atapewa na wanasiasa wenzake ili tuione na kuithibitisha nia ya dhati aliyokuwa nayo...........vinginevyo tutaona chenga tu!!!!