Mchaga 25
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 464
- 114
hivi wakiristo si ndio wanasema waislam hawakusoma?nakumbuka siku moja padri alijigamba kwenye bbc kuhusu kei ya dibagula kwamba waislam hawajishuhulishi na kusoma sasa nchi inaendeshwa na wasomi?nchi maskini, omba omba au mnakataa cheo chenu cha usomi?JK MNAMLAUMU TU. AKICHUKUA MAAMUZI MAGUMU YA KUIKWAMUA NCHI YETU UMASKINI MTAPIGA KELELE, MFANO MISAMAHA YA KODI ULISIKIA KANISA LILOVYOKUJA JUU?
Unajua jini maiti wa JK anafanya kazi sana nilitaka nishangae