na je,katika kuonyesha yeye na mafisadi damu damu mh rais akiwa njiani kwenda monduli majuzi alifungua hotel nyingine ya fisadi mramba basil akimshirikisha bw mmoja kivuli william,...iitwayo "SNOW CREST" iliofunguliw a kwa mbwe mbwe na vifijo huku arusha nzima ikiwa hoi kujua nini kinaendelea,,..
anyway ni moja ya fadhila lakini hatudhan rais anaitaji kuwa cheap kihivi kwa washenzi kama hawa na hivyo kutufanya kukosa imani na haya makesi yasiyoisha....
na je,
una uhakika gani kwamba kakaake nguli ni FISADI?
sasa si washikaji zake mkuu?!We lack a firm person to govern this country!
We kila kitu unafungua tu..unafungua tu....No even querrying?...
Mtu ana makesi mahakamani, na bado hayajaisha, unabariki hoteli yake..Wapumbavu hawa watu...!! TOO BORING!
Na haya yote chamtoto, matusi ya JK mtakuja kuyaona term ya pili ambapo atakuwa hana hofu ya kuchaguliwa tena, I tell you mark my words.
Roger broda!..Somebody bookmark this page, archive it, and come back to it in 2015 !
Roger broda!..
I can see 85% accuracy to this acronym.
Natafsiri kwa lugha ya kigeni
Roger broda!..
Message received
-indicates that the speaker has received and understood a transmitted message
Mwisho wa kutafsiri.