Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uhuni hotel ya Kibo Palace ni ya Swai mwenye Bureau de change Moshi
Owner of Kibo palace is MRAMBA though there is rumours that he made a transfer to Raila Pm of kenya,the other one I have no clue.
On those two days,president must be in Arusha region because on 19th Dec he has the task as stipulated in our constitution of granting commission to people who are doing military training at Tanzania Military Academy-Monduli which will make them to be Officers in Tanzania Peoples Defence Forces. There is no delegation in that commission ceremony
Ni ya nani hii? au ni ya mafisadi wengine?
sasa kama haujui ni ya nani, kwanini kichwa cha habari kinasema ni ya mafisadi?
Hata kama sio ya fisadi, kwani kuna lazima gani kwa JK kufungua hiyo Hotel?Ni sahihi kwake kuhusishwa na rasilimali za mafisadi...
Wana JF,
Habari nilizo zipata to mjini Arusha ni kuwa Rais JK ataudhulia ufunguzi wa Snowcrest hotel(The Peak of Perfection) na Kibo Palace Hotel(Five Star) hapo mjini Arusha mnamo tarehe 18 na 19 December 2009,
Maswali yangu ni kuwa sasa kamekuwa ni system kusikia Rais wa nchi kuudhulia funguzi nyingi za hotel, Last time nilisikia Rais kamtuma mwakirishi katika ufunguzi wa Seliani Hospital iliofunguliwa Arusha Mjini yeye hakuja, Siku nyingine akaja mwenyewe katika ufunguzi wa bank ndogo ni branch ya FBME opposite na East African Hotel, this time ana kuja kwa ufunguzi wa hizo hotel mbili.
IKULU inatuambia hakuna mtu mwingine(mwakirishi) wa ufunguzi wa hizo hotel??
Rais Hana kazi za msingi sana ni mpaka aje kwa ufunguzi wa hotel?
Je kuna Interest zipi katika hizo hotel kutoka IKULU?
Snockrest Hotel kwanza last time nilipita Arusha nikakuta imesogelea eneo la barabara ya Arusha - Moshi which means eneo lote la parking pale mbele ya Hotel latakiwa kubomolewa.
Watu wanaopanga safari za Rais wanajua hayaaaa?
Ufunguzi wa Seliani Hospital kwanini Rais hakujaa??
Kila hoteli Arusha inamilikiwa na Mafisadi? Hivi zile za Sumaye tulikuwa tunasikia zimeishia wapi?