JK Kuhudhulia ufunguzi wa Kibo Palace & Snow Crest Hotel Arusha

Jethro

JF-Expert Member
Mar 23, 2009
2,219
370
Wana JF,

Habari nilizo zipata to mjini Arusha ni kuwa Rais JK ataudhulia ufunguzi wa Snowcrest hotel(The Peak of Perfection) na Kibo Palace Hotel(Five Star) hapo mjini Arusha mnamo tarehe 18 na 19 December 2009,

Maswali yangu ni kuwa sasa kamekuwa ni system kusikia Rais wa nchi kuudhulia funguzi nyingi za hotel, Last time nilisikia Rais kamtuma mwakirishi katika ufunguzi wa Seliani Hospital iliofunguliwa Arusha Mjini yeye hakuja, Siku nyingine akaja mwenyewe katika ufunguzi wa bank ndogo ni branch ya FBME opposite na East African Hotel, this time ana kuja kwa ufunguzi wa hizo hotel mbili.

IKULU inatuambia hakuna mtu mwingine(mwakirishi) wa ufunguzi wa hizo hotel??

Rais Hana kazi za msingi sana ni mpaka aje kwa ufunguzi wa hotel?

Je kuna Interest zipi katika hizo hotel kutoka IKULU?

Snockrest Hotel kwanza last time nilipita Arusha nikakuta imesogelea eneo la barabara ya Arusha - Moshi which means eneo lote la parking pale mbele ya Hotel latakiwa kubomolewa.

Watu wanaopanga safari za Rais wanajua hayaaaa?

Ufunguzi wa Seliani Hospital kwanini Rais hakujaa??
 
hii ndo tanzania.

ulishawahi kujiuliza kwa nini uchaguzi ukikaribia magari karibu yote yanaweka bendera ya ccm?
au unavifahamu vile wanaita shina la wakereketwa then pemeni yake kuna biashara haramu?
 
na pia awe na interest za kujua mazingira ya kufanya kazi na ujira wa hao wafanyakazi wanao fanya kazi kwenye izo "the so called five star hotels" kama yana na una endana na hadhi za hizo hotels, asiwe anakwenda tu na ku enjoy nice meals na a good glass of wine or champgne then he hits the road.
 
IKULU inatuambia hakuna mtu mwingine(mwakirishi) wa ufunguzi wa hizo hotel??

Rais Hana kazi za msingi sana ni mpaka aje kwa ufunguzi wa hotel?

Je kuna Interest zipi katika hizo hotel kutoka IKULU?

Kila MKULU wa nchi yoyote huwa ana priority katika utendaji wa kazi zake, sisi wetu ni kama hizi. Uliza wamiliki wa hizo hotel basi.. mmh Presha inapanda.
 
Hii ndiyo inadhiirisha ule usemi wa Gabbage In Gabbage Out, Unavuna ulichopanda. Rais aliyewekwa kwa njia za kifisadi matokeo yake ndiyo haya lazima awasujudie mafisadi.
Nawasikitikia sana watanzania wenzangu sijui mungu awape nini mfunguke macho, masikio na ufahamu wenu.
 
kupata mwanga jaribu kuunganisha doti za wamiliki wa hizo hoteli na uswahiba na watu wa magogoni kisha utapata mwanga zaidi na kujibu swali lako la kwa nini....
 
mtoto wa kikwere aache kwenda kwenye shuguli yenye visheti,sambusa ,karanga na kahawa akafungue mivi donge ya krorokwini huko serian ,,,hahaaaaa mbona bado hamjashangaa mwaka huu.
 
Kila MKULU wa nchi yoyote huwa ana priority katika utendaji wa kazi zake, sisi wetu ni kama hizi. Uliza wamiliki wa hizo hotel basi.. mmh Presha inapanda.

Duh mpwa kwahiyo wakubaliana nami kuwa nchi hii haina mustakabali wake wa kiuongozi ambayo itamfanya kila kiongozi ajaye madarakani anapaswa kuifuata!

na ndio maana kila waziri achaguliwapo huja na lake eg elimu, madini, afya, nakadhalika nchi hii uongozi hatuujui kabisa kiala kukicha ni kuunga vilaka katika utekelezaji

 
Wana JF,

Habari nilizo zipata to mjini Arusha ni kuwa Rais JK ataudhulia ufunguzi wa Snowcrest hotel(The Peak of Perfection) na Kibo Palace Hotel(Five Star) hapo mjini Arusha mnamo tarehe 18 na 19 December 2009,

Maswali yangu ni kuwa sasa kamekuwa ni system kusikia Rais wa nchi kuudhulia funguzi nyingi za hotel, Last time nilisikia Rais kamtuma mwakirishi katika ufunguzi wa Seliani Hospital iliofunguliwa Arusha Mjini yeye hakuja, Siku nyingine akaja mwenyewe katika ufunguzi wa bank ndogo ni branch ya FBME opposite na East African Hotel, this time ana kuja kwa ufunguzi wa hizo hotel mbili.

IKULU inatuambia hakuna mtu mwingine(mwakirishi) wa ufunguzi wa hizo hotel??

Rais Hana kazi za msingi sana ni mpaka aje kwa ufunguzi wa hotel?

Je kuna Interest zipi katika hizo hotel kutoka IKULU?

Snockrest Hotel kwanza last time nilipita Arusha nikakuta imesogelea eneo la barabara ya Arusha - Moshi which means eneo lote la parking pale mbele ya Hotel latakiwa kubomolewa.

Watu wanaopanga safari za Rais wanajua hayaaaa?

Ufunguzi wa Seliani Hospital kwanini Rais hakujaa??

Kaka ngoja nikuhabarishe mkuu kama kweli atakuja kufanya ufun guzi wa Kibo palace na snowcrest basi huenda ni vishughuli vidogo tu vya hapa na pale na huenda alialikwa kufanya hivyo na akawakubalia walomwalika. KIMSINGI Mh Rais atakwenda Arusha kwa ajili ya kukamisheni Maafisa wa jeshi la wananchi wa Tanzania huko monduli kwa mujibu wa tarehe ulizo taja. Hawa maafisa ndiyo wanahitimu mafunzo yao ya uafisa na kuanza kulitumikia JESHI katika ngazi ya uafisa! Hii ndiyo shughuli muhimu anayoendea A-town
 
Owner of Kibo palace is MRAMBA though there is rumours that he made a transfer to Raila Pm of kenya,the other one I have no clue.
On those two days,president must be in Arusha region because on 19th Dec he has the task as stipulated in our constitution of granting commission to people who are doing military training at Tanzania Military Academy-Monduli which will make them to be Officers in Tanzania Peoples Defence Forces. There is no delegation in that commission ceremony
 
Jamaa anakimwana Atown nini mana haishi kuwepo au inawezekana napo anafukuzia per diem kama safari za nje nini wakuu.

Nadhani angeweza wasimika hao maofisaa na akaenda loliondo kuwatembelea ndugu zetu waliofanywa wakimbizi kwenye taifa lao. Au huu ndo mwendelezo wa kukumbatiana na mafisadi? Mramba wa Alex stuart kamwalika Kibo, Snowcrest yanani vile? au ndo moja ya rasilimali za EL?

Anyway these hotel are great
 
Maisha bora kwa kila mtanzania bila kuona kuwa masuala ya Afya ni muhimu kwa mtanzania maskini. Anakimbilia kufungua hotel. Kule kuna bahasha nono!!!! Kule seriani si angeulizwa serikali commitment yake katika kuendeleza ile hospital? Na ujue kule kwa wazungu hawana bahasha nono bali wao wanataka useme utachangia nini kama serikali. Read between lines.

Halafu Kibo Palace ni ya nani?? Jamaa wa matumizi mabaya ya ofisi ana share nyingi sana, actually ndiye the owner!!! Haha ha ha!!! Hivi Kibo Palace si ilishaanza kazi muda mrefu sana?? Kwa nini sasa ndiyo official opening?? Wame target!!!! Jamani hii michango ya uchaguzi 2010 imeshaaanza au bado??

Asisahau kutembelea Njake Hotels and Tours!!! Naye akaizindue maana haijapata kufunguliwa na public face!!! Lo! Nimesahau kuwa alizikandia zile Piki piki za mzee Njake, eti hazijui zimetoka wapi?? Yaani wakati anachangia chaguzi na vikao vyote vya Chama AR town leo mnamkana!!! Acha unafiki!!!
 
Ha ha haaa so akitoka huko ndo ataenda kwa hotel kula maraha...nadhani bila ufunguzi huo wa hotel angemtuma mtu kwenye majeshi...dah ''opportunity cost...''
 
Kaka ngoja nikuhabarishe mkuu kama kweli atakuja kufanya ufun guzi wa Kibo palace na snowcrest basi huenda ni vishughuli vidogo tu vya hapa na pale na huenda alialikwa kufanya hivyo na akawakubalia walomwalika. KIMSINGI Mh Rais atakwenda Arusha kwa ajili ya kukamisheni Maafisa wa jeshi la wananchi wa Tanzania huko monduli kwa mujibu wa tarehe ulizo taja. Hawa maafisa ndiyo wanahitimu mafunzo yao ya uafisa na kuanza kulitumikia JESHI katika ngazi ya uafisa! Hii ndiyo shughuli muhimu anayoendea A-town

Kwahiyo watu wa Protocal ndani ya IKULU ndio wamevujisha iyo issue na mpaka caerd za miaaliko zilikuwa zimeisha andikwa au kutaarishwa almost last week of November 2009,??

Je na kwanini wamiliki wa hotel hizi huvizia pindi Rais anapo tembelea Mkoa furani na ndio wao hujifanya atai Hotel inafunguliwa na Rais inamaaana viongozi wengine hawaruhusiwi kufanya hizo funguzi za aina kama iyo na zinginezo???

Hii ina maananisha kwamba hakuna siri nadani ya Protocal Department that is One,

Pili Zamani kuona Jiwe la msingi limewekwa na rais ilikuwa ni mara chache sana ila siku hizi jiwe kuwekwa na Rais ni kama vile waomba maji ya kunywa.

 
Maranyingi humu J.F na watanzania kwa ujumla tumukuwa tukiponda serikali ya ccm,lakini inapofika wakati wa uchaguzi wanaoenda kupiga kura sijui wanakuwa wapi.. too smart to queue and cast a vote? we need to change now, blame game wont help us .
 
Owner of Kibo palace is MRAMBA though there is rumours that he made a transfer to Raila Pm of kenya,the other one I have no clue.
On those two days,president must be in Arusha region because on 19th Dec he has the task as stipulated in our constitution of granting commission to people who are doing military training at Tanzania Military Academy-Monduli which will make them to be Officers in Tanzania Peoples Defence Forces. There is no delegation in that commission ceremony
Acha uhuni hotel ya Kibo Palace ni ya Swai mwenye Bureau de change Moshi
 
Nshawai sema JK mbona hayo ndo mambo anayoyafahamu na kuyapenda
Kama alienda Cuba kubembea can anything good come out of this man!
By the way Ivi Jamaica alienda jifunza namna ya kupanda bangi?
 
Back
Top Bottom