Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema mh JK anatarajiwa kubadilisha wakurugenzi wa mashirika ya umma muda si mrefu kuanzia wiki ijayo na hasa wale anaowahisi awako nae pamoja....habari zaidi zinasema wakurugenzi wa ATCL;BIMA;NDC;TTCL;TANESCO na mengineyo ni mashirika yatakayoguswa na panga pangua hii ya mh ....kutokana na yaliofanyika kwa wakuu wa mkoa wadau wanahisi wa BIMA akaenda TANESCO;Wa ATCL akaenda BIMA;ndc KAENDA ttcl;na hivyo tusitarajie CEO wapya zaidi ya kubadilishaana
kwa habari zaidi stay tuned
kwa habari zaidi stay tuned