Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Huwa nikikumbuka misemo ya mkulu wetu JK sometimes mbavu zinavunjikavunjika...hebu ona mwenyewe hii misemo yake...mhh...
...wanafunzi wanaopata mimba ni kiherehere chao!.....!
...ukitaka kula sharti uliwe............!
...akili za mbayuwayu changanya na za kwako.....!
...inabidi wataalam mpime DNA za hawa maiti wote waliopatikana kutoka kwenye hii meli ili tuweze kujua ndugu zao.......
ongezea misemo yake mingine iliyokuacha kinywa wazi!
.....................
......................
................
...wanafunzi wanaopata mimba ni kiherehere chao!.....!
...ukitaka kula sharti uliwe............!
...akili za mbayuwayu changanya na za kwako.....!
...inabidi wataalam mpime DNA za hawa maiti wote waliopatikana kutoka kwenye hii meli ili tuweze kujua ndugu zao.......
ongezea misemo yake mingine iliyokuacha kinywa wazi!
.....................
......................
................