KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Jk ameshindwa kuzindua umeme unaopita Kwa Kakobe kwa taariha kwamba hauwaki na mpaka sasa matengenezo yanaendelea kwenye nguzo 19 kwa miaka 2 sasa
umeme uliojengwa na Wakatoliki JK amezindua lakini umeme uliojengwa na serikali yake na Japani Jk kagoma kuzindua
Wewe huna kumbukumbu,umeme ulikuwa uzinduliwe Oct 2010.Na Mh Ngeleja aliwambia Media hivyo. Engn Stella Manyanya alihoji Bungeni kwa nini Jk hajazinduaAcha uzushi, amekataa lini?
Mradi umekamilika?
Na lini JK atazindua mradi mkubwa kama huu uliojengwa na waislam?
ukweli ni huo ememe wa msongo mkubwa unaopita katika kanisa la Askofu Kakobe bado haupiti. Umeme unatoka kwa nguvu kwenye kituo cha ubungo lakini ukifika kanisani hapo ambapo ni kituo cha 19 nguvu inapuangua na kushindwa kufika katika kituo cha makumbusho. Zaidi habari hii inapatikana katika gazeti la ANIKA UKWELI la tarehe 19 alh -25 2012 for reference, pia serikali inajua ukweli wote lakini imekaa kimya kuogopa aibu kwa sababu Askofu Kakobe alishawaonya wakamzarau na msimamo wake ni Ngeleja na wenzake wakatubu ndipo mambo yatatulia. Pia emesema yaliyompata Jairo ni madogo makubwa yanakuja. Jamani haya sio maneno yangu lakini Anika ukweli limeeleza yote!!
Mbona hii habari inataka kupnyesha kama vile ni kweli?...Hivi hakuna wanaoishi maeneo ya tukio pale mwenge kwa Kakobe watujuze kama umeme kweli haukatizi kanisani kwake?
ukweli ni huo ememe wa msongo mkubwa unaopita katika kanisa la Askofu Kakobe bado haupiti. Umeme unatoka kwa nguvu kwenye kituo cha ubungo lakini ukifika kanisani hapo ambapo ni kituo cha 19 nguvu inapuangua na kushindwa kufika katika kituo cha makumbusho. Zaidi habari hii inapatikana katika gazeti la ANIKA UKWELI la tarehe 19 alh -25 2012 for reference, pia serikali inajua ukweli wote lakini imekaa kimya kuogopa aibu kwa sababu Askofu Kakobe alishawaonya wakamzarau na msimamo wake ni Ngeleja na wenzake wakatubu ndipo mambo yatatulia. Pia emesema yaliyompata Jairo ni madogo makubwa yanakuja. Jamani haya sio maneno yangu lakini Anika ukweli limeeleza yote!!
Na lini JK atazindua mradi mkubwa kama huu uliojengwa na waislam?