JK: Kazi ndio imeanza!


Haya yamekuja mwaka 2012, mwaka wa saba toka ameingia madarakani na akiwa amebakiza miaka mitatu tu!

hiki ni kitu watanzania tulikua tunajua na tunategemea kutoka kwa rais wetu toko mwaka 2005 November, bahati mbaya kimekuja 2012 August
Aliyafanya mwaka uleule labda unasahau zile semina za Ngurudoto?. Ziara za ghafla ghafla maofisini?.
Kumbe alikuwa sawa na (PICHA YA SIMBA) watendaji waliamasika wakachapa kazi kweilkweli, walipogundua kuwa lilikuwa lisanamu tu wakarudi kulala na kuomba RUSHWA!.
Tena wakapitiliza ndiyo unaona mambo yalivyo sasa.
Duhhh... Dhaifu Bwana! kalala tangu saa mbili usiku sasa saa kumi alfajiri ndiyo anakumbuka shuka.
 
Akiwahutubia mawaziri baada ya kufanya workshop malasya JK amewaambia sasa kazi ndio imeanza, inabidi wawe focused, waweke mechanism/system ya ku-track projects zilizo chini na ministry zao na wakishindwa kudeliver hatasita kuwatema.

Haya yamekuja mwaka 2012, mwaka wa saba toka ameingia madarakani na akiwa amebakiza miaka mitatu tu!

hiki ni kitu watanzania tulikua tunajua na tunategemea kutoka kwa rais wetu toko mwaka 2005 November, bahati mbaya kimekuja 2012 August

Hivi Rais wetu PhD yake alipewa ya KUZUNGUMZA????? Nimesahau; tusaidiane kukumbushana
 
Kuzungumza tu haitoshi tunataka vitendo japo muda unataraadadi... kama ni kuimba alishaimba sanaaa
hivi lile na kutenganisha siasa na biashara aliishia wapi au kapitiwa!!.. mbona waandishi wa habari hawamuulizi ??
 
Kuzungumza tu haitoshi tunataka vitendo japo muda unataraadadi... kama ni kuimba alishaimba sanaaa
hivi lile na kutenganisha siasa na biashara aliishia wapi au kapitiwa!!.. mbona waandishi wa habari hawamuulizi ??
Hao jamaa kwenye blue waanzie wapi wakati wanapokea bahasha (KIFUNGA MDOMO) kabla ya MIKUTANO na Mr. DHAIFU! na maswali ya kumuuliza wapewa na maafisa wa ikulu!.
 
Naona mkulu bado yuko kwenye kampeni anazidi kumwaga ahadi kwa wananchi tu. Badala ya kumalizia kazi ndani ya muda mfupi wa miaka mitatu uliobaki yeye ndiyo anapanga kuanza kazi!!
 
Akiwahutubia mawaziri baada ya kufanya workshop malasya JK amewaambia sasa kazi ndio imeanza, inabidi wawe focused, waweke mechanism/system ya ku-track projects zilizo chini na ministry zao na wakishindwa kudeliver hatasita kuwatema.

Haya yamekuja mwaka 2012, mwaka wa saba toka ameingia madarakani na akiwa amebakiza miaka mitatu tu!

hiki ni kitu watanzania tulikua tunajua na tunategemea kutoka kwa rais wetu toko mwaka 2005 November, bahati mbaya kimekuja 2012 August


Je bado unaamini anayosema? Alishatekeleza hata moja aaminike?

Mimi simwamini hata chembe, hayo ni maneno matupu kama maisha bora kwa kila Mtanzania.
 
hata sielewi kitu hapa..maana najua JK hakuwa kuwa na jambo jema kwa watu wake zaidi ya kUzuga
 
Hao jamaa kwenye blue waanzie wapi wakati wanapokea bahasha (KIFUNGA MDOMO) kabla ya MIKUTANO na Mr. DHAIFU! na maswali ya kumuuliza wapewa na maafisa wa ikulu!.

halafu Tende na maji baada ya mkutano (si mnakumbuka ikulu juzi?)
 

halafu Tende na maji baada ya mkutano (si mnakumbuka ikulu juzi?)
Na baada ya kufanya hivyo Waziri Mkuu msitaafu anasema "Jakaya Kikwete ni rais wa kwanza katika historia ya Tanzania kujali wafugaji kwa kiasi kikubwa mno na kiongozi mwenye uwezo wa kuchukua uamuzi wa kijasiri, kishujaa na kwa uadilifu."

Hapo kwenye nyekundu weka Waandishi
 
Hii ni contradiction. Mawaziri kufanya workshop malaysia ni shilingi ngapi kufanikisha hiyo. Hiyo hela haitoshi kununua citi scan moja?

Am I dreaming?
Sitaki kuamini kuwa ni kweli Mawaziri wa serikali ya Tanzania walifanyia workshop Malaysia!
Wenye taarifa zaidi hebu mtufafanulie.
 
this country needs sober leaders

the economy is in meltdown stage, crooks are governing our people and the few are enjoying the gift of the nation

god bless this country come 2015

aammmmeeeeeeennnnnnnn!!!!
 
Akiwahutubia mawaziri baada ya kufanya workshop malasya JK amewaambia sasa kazi ndio imeanza, inabidi wawe focused, waweke mechanism/system ya ku-track projects zilizo chini na ministry zao na wakishindwa kudeliver hatasita kuwatema.

Haya yamekuja mwaka 2012, mwaka wa saba toka ameingia madarakani na akiwa amebakiza miaka mitatu tu!

hiki ni kitu watanzania tulikua tunajua na tunategemea kutoka kwa rais wetu toko mwaka 2005 November, bahati mbaya kimekuja 2012 August

mkuu! mawaziri wangapi wametemwa na Dr. JK kutokana na uzembe..?! hiyo kitu hakuanza mwaka huu alishafanya kwa vitendo miaka iliyopita anachofanya hapo ni kuwakumbusha wajibu wao ...
 
Back
Top Bottom