democratic
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 1,642
- 295
Ni kweli sherehe zetu za miaka 50 hakuna rais yoyote toka EAC aliyehudhuria,
Sielewi yeye anafuata nini huko?
Nchi ipo kwenye hali ya hatari yeye kiguu na njia nje!
na kuna tetesi kuwa ataunganisha hukohuko hadi Denmark kwenye tuzo za Guiness.........Mungu awasamehe watanzania