Waberoya umegusa hisia zangu na zaidi umeongea kweli iliyo kweli
Ni matatizo na shida pekee ndio zinanafasi ya kutufundisha watanzania namna ya kupata viongozi waadilifu na watendaji, watu wameimba sana lakini hatuelewi. Maisha yapande na serikali ikose pesa hadi ishindwe kulipwa mishara ya wanyakazi
Ni matatizo na shida pekee ndio zinanafasi ya kutufundisha watanzania namna ya kupata viongozi waadilifu na watendaji, watu wameimba sana lakini hatuelewi. Maisha yapande na serikali ikose pesa hadi ishindwe kulipwa mishara ya wanyakazi