JK...JK...utatoboa kweli?

Mpaka sasa3000+ facebook subscribers LIKE the page "Jakaya M Kikwete Must resign"
 
Halafu siku hizi naona kama vile amepungua sijui sababu ya mawazo au kitu gani sijui\\\\\
 
Atafika usihofu. 2006 hakukuwa na umeme wa uhakika na leo hii hali ni mbaya kuliko 2006 lakini Kikwete bado ni raisi wetu.

Naona kuna njia mpya ambayo Kikwete amegundua na yenyewe ni kutokuongea hasa kwenye maswala makubwa yanayolikabili hili Taifa yaani ameamua kuja na style ya kuuchuna
 
Nashukuru kwa kuweka hili swali. If all conditions remain the same (ineffective fractured govt, lame duck president, mafisadi wanatafuna nchi, empty coffers, mapinduzi na maandamano ya umma ktk nchi zingine, maandamano na migomo ndani ya nchi), simpi JK miezi 6 ya urais. I stand by this.

anamalizia mansion lake pale msoga kisha anaweza achia ngazi kwa amani.
 
mambo madogo huku mtaani hakuna taabu kabisa, ila ukiingia JF utafikri nchi inawaka moto, yes inawaka moto kwenye computer screen na wanaJF walewale ambao 50% wanaishi nje ya nchi poleni
 
mambo madogo huku mtaani hakuna taabu kabisa, ila ukiingia JF utafikri nchi inawaka moto, yes inawaka moto kwenye computer screen na wanaJF walewale ambao 50% wanaishi nje ya nchi poleni

mkuu hili swali liliulizwa na mwana-appolo ambaye access ya computer ni ndoto kwake.
 
Mpaka sasa3000+ facebook subscribers LIKE the page "Jakaya M Kikwete Must resign"

sawa hawezi toboa, kumbe watu buku tatu wame sabskraibu, slaa jiandae kuingia ikulu watu buku tatu wamemuangusha jk
 
Sina uhakika kama ndugu yangu mkwere atamaliza miaka 5 kama rais wa TZ.
Ukiachana na ahadi zake za trillion kadhaa,hereunder are the suprises:

1.katiba
2.Dowans
3.umeme bei juu
4.gas bei juu
5.maandamano

machalii wa mererani wana swali lao, je mkwere J.K UTATOBOA?

mi sijui chochote napita tu, ila sioni kama ataweza
 
Jk mi naona angeongea na watanzania kwa uwazi na kunyoosha mambo angeeleweka.Mbona Watanzania ni watu wapole na waelewa ila akiwa kimyaa na kuwafumbia macho mafisadi hakika lawama zitamuandama,na mpaka amalize ngwe hii hatowasahau Watanzania wenye uchungu na nchi yao
 
Mkuu Jk huna la kuwaambia watanzania zaidi ya kuwaadhibu mafisadi.ukimya wako wala hautawasahaulisha machungu walionayo wavuja jasho wa bongo.you must decide whether you are with mafisadi or the common mwananchi and that decision should be fast!
Jk mi naona angeongea na watanzania kwa uwazi na kunyoosha mambo angeeleweka.Mbona Watanzania ni watu wapole na waelewa ila akiwa kimyaa na kuwafumbia macho mafisadi hakika lawama zitamuandama,na mpaka amalize ngwe hii hatowasahau Watanzania wenye uchungu na nchi yao
 
Mr presdent!habari za uswizi?sina uhakika kama wapambe wako wamekupa taarifa kuwa ile mitaa ya makumira jijini arusha leo hii ilijaa 'moshi mchachu' yaani teargas.tatizo ni lile la loan board,ndugu yako kawambwa amechoshwa na hii misukosuko basi kama una wasaa mpige tafu kidogo.kumbuka wale mbayuwayu wana mpango wa kupachimba tarehe 29 mwezi huu,bila kusahau wazee wa EAC wanavuta kasi.
Du uncle wangu pole sana yote haya yanakukuta wewe!
Lakini usisahau kale kaprogram cha hotuba mwisho wa mwezi si unajua tena hapa unaweza potezea kwa kuongelea topic za afya ya mtoto,malengo ya milenia na kutafuta wawekezaji kama jana ulivyotupa matumaini ya upasuaji wa ubongo na uti wa mgongo(dakta mara 5 si ndio wewe bana,nani mwingine?)
lakini mkuu moto unakaribia kuwaka kule mjengoni.
Teh teh teh mimi natania tu endelea kuponda raha huko ughaibuni.
 
halafu nadhani the only issue that can be seen kwa kiumbe huyu is that ,he has low iq,hana busara,anaendesha watz kwa ujanja ujanja na anafanya mambo kienyeji without having strong reasoning,.lets teach him lesson...lets unite ant together we shall win.
 
Naona hata kuongea na watz hutaki.yaani umeamua kuongelea serious issues za nchi hii kwenye kamati ya chama na sherehe za kichama.mbona unatutenga sisi tusiokuwa na vyama?
 
Mkuu hizi kauli zako za "Sijui" zinatia mashaka.
Uliwahi kusema hufahamu kwa nini Tanzania ni maskini na hivi juzi umesikika ukisema hujui mmiliki wa dowans ni yupi.
Je ni mambo mangapi muhimu huyafahamu?
 
Tusubiri jinsi bunge litakavyohandle suala la Arusha.nakutakia kila la kheri mheshimiwa!
 
Back
Top Bottom