Nimekuwa nafuatilia maoni ya watanzania wa kada mbalimbali. Wengi wanapinga tena kwa hasira malipo ya dowans. Kiongozi mzuri anazingatia maoni ya watu. Natabiri dowans ikilipwa serikali ya JK itaanguka na sidhani kama atabakia madarakani. Najua anasoma jf na watu wa usalama pia. Chondechonde usiamshe hasira za watanzania ambazo hutaweza kuwatuliza. Hata ukiwasingizia chadema haitakunusuru