Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
Ukichunguza kwa makini utagundua wengi wa hawa 'Watanzania waishio ........' ni wafanyakazi wa ubalozi na ujumbe uliofuatana na 'cocunut head'.
hivi hawa watanzania wanaoishigi nje kipindi cha uchaguzi huwa wanapigaga kura ya kuchagua raisi/ubunge na madiwani?
Naona picha ya JK ni moja tu za 1st lady ndio nyingi, labda tuseme Salma in Australia?
kwa hiyo wamehamisha kituo cha kufanyia vikao tu sio?Australia hakuna watanzania wengi, nimekaa huko na ninajua. Wengi walio hapo wapo kwenye huo Msafara wa Kifisadi. Jamani nchi hii sijui tunaelekea wapi kodi zetu zinatafunwa bila ya huruma, wenyewe hatuna Umeme, Maji wala Madawa Hospitalini. Goooooooooooooood help us
Australia hakuna watanzania wengi, nimekaa huko na ninajua. Wengi walio hapo wapo kwenye huo Msafara wa Kifisadi. Jamani nchi hii sijui tunaelekea wapi kodi zetu zinatafunwa bila ya huruma, wenyewe hatuna Umeme, Maji wala Madawa Hospitalini. Goooooooooooooood help us
Wabongo bana, huyo rais wa watanzania waishio Perth au Australia? Huku Taz hatujamuona ati!
Mko pamoja wewe na familia yako na ndugu zako wote. Tunaomba utuondoe wengine hatuko pamoja naye, maana hatuwakilishi.Tuwakilishe vyema Mhe.
Tupo pamoja.
OTIS.
Wataka aje akutembelee kwako?
OTIS.
Wabongo bana, huyo rais wa watanzania waishio Perth au Australia? Huku Taz hatujamuona ati!
Lugha ipi hebu toa utumbo wako hapaChunga lugha yako.
OTIS.