Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,237
- 9,871
U tz acha fujo rais yenu nakwenda pumzika chalinze. Mi iko kumbuka wkt iko india rais yetu nakuwa na safara fupi sana , kawaida nakuwa pikipiki na gari ya kawaida sana mana rais yetu napenda walipa kodi yake yote. Mi naogopa ss tz kila ikikumbuka issue ya pale hamiaji nakosa amani nahisi tafukuzwa tanzania siku moja ila tapambana mana iko vutu muzuri hapa. Indian society nataka kuweka kikao ili JK nakuwa rais ya maisha mana tawala yake iko barabara
Usiogope mkuu, hapa amani mpaka kesho...! Teh!