JK: Hiki hakikuwa kipindi cha kufanya ziara nje ya nchi

Cameroun pumbafu tu yule muuaji anataka kumuua Ghadaf haya mambwa ya ulaya yakae mbali na Afrika hatuyahitaji...ukizoea kusaidiwasaidiwa mwishowe hata mkeo ataacha kukuheshimu ataheshimu anaesaidia mji wako!!!!
 
Cameroun pumbafu tu yule muuaji anataka kumuua Ghadaf haya mambwa ya ulaya yakae mbali na Afrika hatuyahitaji...ukizoea kusaidiwasaidiwa mwishowe hata mkeo ataacha kukuheshimu ataheshimu anaesaidia mji wako!!!!

mhhhh naona hauko frequency moja na hii thread. fanya tuning
 
Iko siku Serikali itaangushwa na Wabunge wakati Mkulu yuko Safarini nje ya Nchi!
 
Hawezi kuacha kusafiri huyo hata kama kutakuwa na watu wengi wanaofariki kwa janga la umeme yeye ni mtalii kama watalii wengine
 
Mkuu Mo-Town kila mtu anayejua kufikiri jambo hili linamuumiza sana. Hivi hakuaona David Cameroon amehairisha safari ya kuja Africa kwa sababu ya kashfa ya News of the World paper la mtu binafsi? Hivi jambo kubwa kama hili la waTZ kulala gizani yeye JK ameliona dogo sana na matokeo yake kumwingiza JAIRO mkenge? Nafikiri habari keshazipata na sijui kama atalala usingizi. Inaniuma na kwa bahati mbaya sina la kufanya zaidi ya kuomba waTZ waamke wamhukumu wenyewe.

Huyo Cameron angesafiri basi magazeti, wabunge wa chama chake na upinzani ungepiga kelele...Lakini hapa hakuna mwenye ubavu wa kumwajibisha.

Ningependa wabunge walivyomkomalia Ngeleja wafanye hivyo hivyo kwa Mkulu...gazeti la kenya limemsema lakini sijui hata mkulu husoma magazeti.
 
Jamani Rais yuko hapa pretoria na mandela kwenye Bday yake,anachekacheka kama ngedere. Hilo Giza lenu mtajiju ,mmeamua wenyewe kuigeuza Tz kuzimu ,na anasema mtachonga sana imekula kwenu yeye ndio mbayuwayu na angani ni makao yake!endeleeni kulalamika hata Mungu hata wasikia, mlimchagua wenyewe mkimwita chaguo la Mungu.
 
Waziri mkuu wa UK ameamua kukatisha ziara yake ya South Africa kwa sababu ya kashfa ya Metropolitan Police na News International na pia uhusiano wake na akina Rupert Murdoch.JK ameondoka huku nyuma umeme hatuna na sasa hivi inasemekana kuwa maeneo mengine umeme huwa hakuna mpaka siku 3 mfululizo.Lakini huku nyuma cabinet minister wake yuko under fire na bila kusahau kashfa ya rushwa toka kwa BILIONEA na katibu mkuu wa wizara ya nishati bwana JairoSurely if Cameron would return kutokana na pressing matters, why not JK? Mkiniuliza akirudi aje kufanya nini...well how about firing the entire cabinet for a start na akapewa emergency powers ili tupate huo umeme?
Maeneo gani ambayo hakutakua na umeme siku 3 mfululizo? Au umekurupuka tu?
 
Do you think these doomy frantic politicians cares?

Kwa mfano hata katibu mkuu wa wizara ya Nishati na madini na Waziri walistahili kujiuzulu immediately kutokana na hii kashfa.mbona hatuna nidhamu za Japan na China? Sometimes nahisi kukosa uvumilivu wa the so called freaking term of democracy.Nahisi tujipange tu kwa ziara za milima ya uluguru,misitu ya kilimanjaro na mingineyo....you know what i mean!
 
..........................Nahisi tujipange tu kwa ziara za milima ya uluguru,misitu ya kilimanjaro na mingineyo....you know what i mean!

Yu meaan twende milimani kukata kuni za mtumizi au fimbo za kuwachapa hao jamaa... teh teh teh
 
Maeneo gani ambayo hakutakua na umeme siku 3 mfululizo? Au umekurupuka tu?
wewe ni zao la mafisadi wanaokula hii nchi ndo maana unashangaa umeme kukatika siku tatu, pita hapa ubungo nhc, uulize umeme huwa unakatika kwa muda gani utaambiwa
 
Maeneo gani ambayo hakutakua na umeme siku 3 mfululizo? Au umekurupuka tu?
we up nchi gan?au ndo mnakaa na wakubwa,? nway ngoja nikupe maeneo ambayo umeme haupo zaidi ya siku 5 mfululizo..ubungo ind area,kijichi,mbagala,kkoo,kimara etc.wengine watakua xperience yao
 
Do you think these doomy frantic politicians cares?

Kwa mfano hata katibu mkuu wa wizara ya Nishati na madini na Waziri walistahili kujiuzulu immediately kutokana na hii kashfa.mbona hatuna nidhamu za Japan na China? Sometimes nahisi kukosa uvumilivu wa the so called freaking term of democracy.Nahisi tujipange tu kwa ziara za milima ya uluguru,misitu ya kilimanjaro na mingineyo....you know what i mean!

Pamoja na kashfa lukuki zilizoandamana kama siafu toka 2005, Kikwete hakuwahi kuwajibika hata mara moja katika awamu yake ya kwanza na bado tuzo akapewa na Watanzania kwa kuongezewa awamu nyingine. Sasa tunavuna matunda ya tulichopanda, tukapalilia na kumwagilia - kweli ardhi ya Tanzania kiboko yaani ina rutuba inayowezesha ufisadi kusitawi na kuchanua ile mbaya, asante CCM !
 
"WaJF ukweli ni kuwa JK hakumbuki tena majukumu yake."

Kwani kuna siku hata aliwahi kujua majukumu ya rais? Aliingia Ikulu bila ya kujua majukumu makuu ya kuwa mkuu wa nchi nini. Kwake, Ikulu ni usupta staa wa 'kisiasa' : kila siku kila unachofanya na kusema (hata ukichafua hewa) kinatengeneza vichwa vya habari magazetini na redioni/luningani. Kila siku unakaribishwa kufungua rasmi ama warsha, makongamano, na kuzindua programu/kampeni za kisanii za kijamii kama vile 'malaria haikubaliki', nk, nk, nk. Baada ya wiki chache unapaa pipa kushiriki mkutano wa kimataifa juu ya 'mabadiliko ya tabianchi' au 'uwekezaji'. Ukirejea unakuwa mgeni rasmi katika harusi ya mtoto wa kigogo mmoja wa ccmagamba, nk, nk, nk,. Kwa ndugu yetu Mhe Dkt JK huo ndio urais!!!! Janga la kitaifa. Very sad
 
This prezidar of ours is more than Vasco Da Gama,we can call him Vasco the 2nd,shame on him.
 
Jamani Rais yuko hapa pretoria na mandela kwenye Bday yake,anachekacheka kama ngedere. Hilo Giza lenu mtajiju ,mmeamua wenyewe kuigeuza Tz kuzimu ,na anasema mtachonga sana imekula kwenu yeye ndio mbayuwayu na angani ni makao yake!endeleeni kulalamika hata Mungu hata wasikia, mlimchagua wenyewe mkimwita chaguo la Mungu.
Duh hili nalo neno,jamani aibu Rais wetu anakwenda katika bibirthday pamoja na crises zote tulizonazo,Mungu wa mbinguni turehemu inatosha sasa!
 
Kofia, tisheti pamojana na kanga lazima viwahukumu na huu ndio muda mwafaka sasa sijui mnalalamika kitu gani, maana unaambiwa mjinga hufunzwa na kosa lake na mjanja hufunzwa na kosa la mjinga. Wakati huku wananchi, wabunge na mawaziri wanakabana koo kuhusu umeme, yeye Kikwete anaponda raha kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa Mandela. Halafu mi nawashangaa mnaosema Kikwete arudi, hamuoni kuwa huyu ni mzigo wenye kichefuchefu, akiwepo mi ananinyima amani kwa sababu ni bora uishi na taahira kwa sababu utakuwa unajua huyu ni taahira kuliko kuwa na huyu mkulu
 
Back
Top Bottom