JK: Hatutaki Rais mzee 2015

Ben kwanini basi iwe ni miaka 35? Hiyo siyo dharau kwa walio chini ya miaka hiyo? Kwanini tusiondoe tu minimum age requirement?

Mkuu,

Katiba kulazimisha umri wa miaka 40 and above uwe ndiyo mojawapo ya qualifications za mgombea urais ni tatizo.Ni vigezo gani vilitumika?Mbona nchi nyingine wanaongozwa na viongozi ambao ni below 40 tena kwa mafanikio tu?Je,watanzania kwa hisia na fikra achilia mbali utamaduni ni tofauti na watu wa mataifa mengine?

Mbona Comrade Muammar Ghaddafi aliongoza libya akiwa na miaka 27 tu na akaongoza kwa mafanikio?( I guess hapa hii ni debate nyingine).Mbona mwalimu J.K Nyerere aliongoza nchi akiwa below 40?Mbona Comrade Patrice Lumumba alikuwa below 40?

Matatizo ya Africa naona yanachagizwa na mentality zisizo na vision au mission.Suala la succession plan kwa Afrika ni lugha ngumu iwe kwenye Business,corporate world ama kwenye Leadership.Kwa mfano katiba kama hii ya Tanzania,imejiandaa kuzuia succession plan na ku-adopt mawazo yale yale ya zamani kwamba unless una grey hair then you are not wise!
 
Watu hivi kikwete haruhusiwi kutoa maoni yake kama mtanzania?tuache kuwa na fixed minds......The Logic is,ni kwa nini umri wa kugombea urais uanzie miaka 40? Haya ni matusi kwa walio na umri chini ya miaka 40,ni matusi kwa watanzania kwamba busara za kuongoza zinaanzia umria wa miaka 40?

Halafu funny enough,sijui ni kwa nini watu wana-feel insecure statement ya kushusha umri wa urais inapotolewa.


Naunga mkono katika kujenga imani kwa vijana wenye uwezo sawa na kujenga imani kwa wazee wenye uwezo !

Mkuu samahani kama nitakuudhi
Lakini uwa nashanga uwa ikija swala la zitto unakuwa mbele kuleta hoja zisizo za msingi

Sijawai kuona unaongelea vizuri kuhusu chama chako na viongozi wako

Je wewe ni kundi moja na zitto?
:nerd:
 
.....Katika hatua nyingine, mbunge wa bombuli, januari makamba (ccm), amependekeza kuwa umri wa kugombea urais, ushushwe kutoka miaka 40 ya sasa hadi 35.

Ushauri huo uliungwa mkono pia na mbunge wa kigoma kaskazini, zitto kabwe, ambaye alihoji kuwa kama uganda wameweza kwa nini tanzania mabadiliko hayo hayawezekani.......

Maoni yao nayaunga mkono lakini tunaomba tuwaisikie hawa wabunge wapiganaiji wakitoa hoja ya kupungza muda wa elimu tanzania wasinagalie Magogoni tu . System yetu ya (7-4-2. ) alafu 3 or 4 years ni miaka mingi sana...... . Kuna miaka kama 17 ya elimu mpaka chuo . Avarage watu wanaanza shule wakiwa na miaka saba (Inawezekana sheria ibadilishwe waadjust pia hili watoto waanze na miaka mitano).

So wanaweza kupunguza muda kwenye ciricuulum ya kawaida na kutunga sheria ya muda wa kuanza darasa la kwanza ishuke chini kuwa miaka mitano.
 
To me age doesnt matter as long as ni mtu mzima mwenye proven records za utendaji mzuri na afya iliyosimama anafaa kuwa raisi.
Nsije sahau asiwe na kashfa yoyote ile!

Naona unajichanganya kwasababu unataka mtu mwenye 'rekodi' ya utendaji na wakati huo huo unasema haijalishi sual la umri. Nchi zetu za kiafrika mtu anamaliza chuo akiwa na miaka 27 plus. Huo uzoefu wa kisiasa atakuwa ameupata wapi kabla ya miaka 35? Mimi naona hata hiyo miaka 40 yenyewe ingekuwa extended to 60 ili kujihakikishia kupata mtu mwenye busara ya uongozi ili tusije kuchagua vijana ambao wanawaza kuharibu nchi tu.
 
Mkishusha umri wa kugombea urais hadi miaka 35 itakuwa ni dharau kubwa sana kwa sisi wenye miaka 25.

Dada Radhia .......Hata wewe unaweza kuwa kiongozi mzuri ukiwa na qualification zaidi ya hiyo umri.Nikipewa fursa ya kuchagua kati ya wewe mwenye 25 years old na mwenye miaka 35 na mkawa mnalingana vigezo vyote isipokuwa umri then i'll certainly vote for you !
 
Watu hivi kikwete haruhusiwi kutoa maoni yake kama mtanzania?tuache kuwa na fixed minds......The Logic is,ni kwa nini umri wa kugombea urais uanzie miaka 40? Haya ni matusi kwa walio na umri chini ya miaka 40,ni matusi kwa watanzania kwamba busara za kuongoza zinaanzia umria wa miaka 40?

Halafu funny enough,sijui ni kwa nini watu wana-feel insecure statement ya kushusha umri wa urais inapotolewa.


Naunga mkono katika kujenga imani kwa vijana wenye uwezo sawa na kujenga imani kwa wazee wenye uwezo !


Ben
1. Rais ni institution na ndo maana kuna walinzi 24/7 wewe unam-reffer kama Kikwete ila hapa tunadiscuss kama Rais na Mwenyekiti so kwako hii ni personal issue kwetu ni National Echo

2. Context matters a lot on the weight of content delivered

3. Hatupo kwenye kujenga imani tena zama hizi......tunahitaji uwezo na ari ya kutenda ndani ya muda tarajiwa ambayo with age kwa mtu competent tunapata a good result....thus unapata age as in experience not digits mind you.......na kwa mchango wako hapa unaonekana kabisa when you grow up utachangia vema zaidi

4. Watu tuna feel insecured leo because we want to be secured in future.....it is sequential....not haphazard
 
Wakati huyu Rais anaingia madarakani watu walishangilia wakisifu na kushukuru kupata Raisi KIJANA by then I think he was 55 of which hilo si tatizo; shida yangu kama yeye aliingia akiwa kijana ni kipi hasa kilichofanyika au kufanywa na Raisi huyu kijana ambacho basi kitatumika kama kigezo cha kuafiki maneno yake??

Kitengo cha Propaganda kimenyofolewa Chamani sasa kimehamishiwa Serikalini..............
 
Watu hivi kikwete haruhusiwi kutoa maoni yake kama mtanzania?tuache kuwa na fixed minds......The Logic is,ni kwa nini umri wa kugombea urais uanzie miaka 40? Haya ni matusi kwa walio na umri chini ya miaka 40,ni matusi kwa watanzania kwamba busara za kuongoza zinaanzia umria wa miaka 40?

Halafu funny enough,sijui ni kwa nini watu wana-feel insecure statement ya kushusha umri wa urais inapotolewa.


Naunga mkono katika kujenga imani kwa vijana wenye uwezo sawa na kujenga imani kwa wazee wenye uwezo !
Rais anapotoa maoni yake afikirie mara mbili, is a shame kuwa challenged kwa kitu kidogo kama hiki. Ametumia kigezo gani kusema tunataka rais Kijana. Analeta ubaguzi wa vijana na wazee. Rais ni mtu yeyote mwenye uwezo na tutakaye muona anafaa hatuangalii mzee au kijana. Swala la umri wa kuanzia kumpata rais ni utaratibu tu wenzetu walikaa waliona hilo wakaamua hawakukurupuka tu. ukisema 35wengine watasema 25 utatumia kigezo gani kupata umri sahihi? Naona 40 ni sahihi mtu anakuwa amepitia challenges nyingi zikiwemo za kazini na familia. Kama wewe ni mzuri si usubiri shida iko wapi? Kwani miaka 40 ni mzee?
 
Ben
1. Rais ni institution na ndo maana kuna walinzi 24/7 wewe unam-reffer kama Kikwete ila hapa tunadiscuss kama Rais na Mwenyekiti so kwako hii ni personal issue kwetu ni National Echo

2. Context matters a lot on the weight of content delivered

3. Hatupo kwenye kujenga imani tena zama hizi......tunahitaji uwezo na ari ya kutenda ndani ya muda tarajiwa ambayo with age kwa mtu competent tunapata a good result....thus unapata age as in experience not digits mind you.......na kwa mchango wako hapa unaonekana kabisa when you grow up utachangia vema zaidi

4. Watu tuna feel insecured leo because we want to be secured in future.....it is sequential....not haphazard

I have been looking for LIKE I culdnt find it! Am doing this expressly I LIKE this OleSaidmu
 
Mkuu samahani kama nitakuudhi
Lakini uwa nashanga uwa ikija swala la zitto unakuwa mbele kuleta hoja zisizo za msingi

Sijawai kuona unaongelea vizuri kuhusu chama chako na viongozi wako

Je wewe ni kundi moja na zitto?
:nerd:

Kachanchabuseta,

1. Bila samahani

2.Tafsiri ya kundi ni nini?una maanisha kama vile vya Ngoma za Asili?SACCOS?

3.Pengine hujawahi kuona michango yangu kwenye chama au kuhusu chama na kwa bahati mbaya au nzuri umekuwa mwepesi sana kuona hoja zangu kuhusiana na suala la Zitto tu badala ya hoja nyingine.

Halafu naomba unifahamishe kundi la Zitto ni lipi na kundi lingine ambalo si la Zitto ni kundi la nani hasa.Samahani kama nitakuudhi !
 
Dada Radhia .......Hata wewe unaweza kuwa kiongozi mzuri ukiwa na qualification zaidi ya hiyo umri.Nikipewa fursa ya kuchagua kati ya wewe mwenye 25 years old na mwenye miaka 35 na mkawa mnalingana vigezo vyote isipokuwa umri then i'll certainly vote for you !
what about experience, skill, achievements etc..... wewe kweli bogus
 
Yes he is ! He can totally change the attitudes,he can inspire and more importantly.......he can be the best Commander-in-chief ever.Zitto is a great leader with superb courage and deep sense of commitment and love for his people.

It's Only sickening the pathetic, lazy and backward mentality ...... JK ana haki ya kutoa mawazo yake.Kuna watu wanakosa kujiamini inapokuja suala la kuweka proper age na kupanua wigo wa kidemokrasia kuhusiana na umri wa kugombea urais.

It's very obvious uwezo wa mtu unapewa first priority na incase kuwe na watu wawili wenye uwezo sawa provided that all other factors are constant except age,then i will vote for the youngest candidate.People dont quote me wrong kama ilivyokuwa kwenye ile thread nyingine tena.

1. This is what we call love and emotions..........weka hapa capabilities zake over others especially wa CHADEMA kwa kuanzia then sisi tutajua tu nini ndo nini......

2. In para two ndo mawazo yako sasa yamerudi na kweli hapo unashirikisha ufahamu wako kwenye mambo makubwa kwa Taifa achana na mapenzi ya person weka vigezo against ability ya deliverance
 
Rais anapotoa maoni yake afikirie mara mbili, is a shame kuwa challenged kwa kitu kidogo kama hiki. Ametumia kigezo gani kusema tunataka rais Kijana. Analeta ubaguzi wa vijana na wazee. Rais ni mtu yeyote mwenye uwezo na tutakaye muona anafaa hatuangalii mzee au kijana. Swala la umri wa kuanzia kumpata rais ni utaratibu tu wenzetu walikaa waliona hilo wakaamua hawakukurupuka tu. ukisema 35wengine watasema 25 utatumia kigezo gani kupata umri sahihi? Naona 40 ni sahihi mtu anakuwa amepitia challenges nyingi zikiwemo za kazini na familia. Kama wewe ni mzuri si usubiri shida iko wapi? Kwani miaka 40 ni mzee?

Nyerere alipokuwa Rais akiwa Below 40 unaliongeleaje?Ubaguzi tayari uliltwa na waliotunga katiba iliyochora mstari unaosema above 40...! vipi kuhusu wawakilishi tulio nao bungeni ambao ni below 30?kuna mtu anaweza kuja na facts za perfomamnce ya Dr. Salim Ahmed Salim alipokuwa balozi wetu nje (mwakilishi wa rais nje ya nchi) wakati akiwa na umri below 25?

Katiba hii tuliyo nayo inaweza kutupa hata kiongozi ambaye ni below 40. je mhimili wa dola kama Bunge na mahakama katiba inawazungumziaje viongozi wa mihimili hii?kuna kigezo cha umri wa mtu atakayekuwa spika apart from umri wa kuwa mbunge?Je Jaji mkuu kama kiongozi wa mahakama? je.Head of missions abroad?
 
Kenya jana walimzika Waziri wa Mazingira John Michuki,alikufa ktk umri wa miaka 80. Lakini wanasema alikua kati ya mawaziri wachache wachapa kazi haswa ktk baraza kubwa la mawaziri la Rais Kibaki.
 
what about experience, skill, achievements etc..... wewe kweli bogus

Unajua maana ya ceteri peribus? unajua maana ya if all other factors remain constant? between me and you who is an intellectual dwarf here? Jenga tabia ya kusoma usikurupuke tu....Unaathiriwa sana na group thinking!

1. This is what we call love and emotions..........weka hapa capabilities zake over others especially wa CHADEMA kwa kuanzia then sisi tutajua tu nini ndo nini......

2. In para two ndo mawazo yako sasa yamerudi na kweli hapo unashirikisha ufahamu wako kwenye mambo makubwa kwa Taifa achana na mapenzi ya person weka vigezo against ability ya deliverance

Ni kwa nini uni-limit kumlinganisha na others especilly wa Chadema? why not beyond?
paragraph 2 na ya kwanza zote zinategemeana,tatizo uliposoma ya kwanza ulilipuka kwa mhemko na ulipoona paragraph ya pili ikakufariji.Pole sana mkuu,na sio wewe mwenyewe kuna wengine wengi tu utawaona hapa......
 
Sasa kama ni kweli - alisema hivyo - na anaamini hivyo kwanini yeye mwenyewe na makamu wake wasijiuzulu sasa ili kutuondolea kutawaliwa na RAis Mzee?

Alichosema mkuu ni kuwa, kwa mwaka 2015...Rais lazima awe na umri chini ya wa kwake...kwahiyo wale wenye umri kama wake au zaidi hawatapata nafasi 2015. Pia hiyo ni sera ya kwao wao CCM only, sio sera ya Tanzania
 
Sababu za kushusha umri zimeelezwa vizuri sana na kaka yetu January Makamba. Amesema wazee wameshindwa kuleta mabadiliko na wameishia kuleta uchawi tu Ikulu. Hapo labda alikuwa anamlenga Baba Mwanaasha.

Nakubaliana na wewe ni kweli kamlenga Baba Mwanaasha na Mzee Yosef Makambaa, Mzee Makambaa ndiye alimletea Baba Mwanaasha mchawi maarufu sana toka Bumbuli aitwaye Mohamed Mbega, na mpaka leo huyu ndiye mwenyekiti kamati ya ufundi ya Baba Mwanaasha,kwa hiyo January anazungumza jambo la ukweli kabisa.Ikulu ya leo imekuwa playground ya majini.
 
Back
Top Bottom