Nteko Vano
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 434
- 111
|
| |
|
|
| |
|
Sasa kama ni kweli - alisema hivyo - na anaamini hivyo kwanini yeye mwenyewe na makamu wake wasijiuzulu sasa ili kutuondolea kutawaliwa na RAis Mzee?
Waandishi wa kibongo article nzima haina direct quote kuonyesha alivyosema Kikwete verbatim kuhusiana na main topic.
Makala inatuacha tunauliza kama kweli Kikwete kasema hivyo, na kwa context gani.
Kama kasema kweli.
Kikwete kaambiwa na nani kwamba Watanzania hawataki rais "Mzee"?
Au yeye ndiye anataka kuwachagulia Watanzania rais?
Rais haoni kwamba anawagawanya Watanzania katika makundi, vijana na wazee, badala ya kuwaunganisha wote?
Rais haoni kwamba anataka kuwanyima wazee haki yao ya kikatiba ya kugombea uongozi?
Rais haoni kwamba anawavunjia wazee heshima kinyume na mila za kiafrika zinazoheshimu wazee?
Katika historia ya Tanzania huru hakuna wakati ambapo wanawake walikuwa hawashiriki kupiga kura; na hakuna sababu ya msingi ya kushusha umri wa kuanza kupiga kura kuja miaka 16. Upigaji kura ni uamuzi wa mtu mzima na tunayo universal suffrage. Kama tunaamini mtoto wa miaka 16 anaweza kufanya uamuzi mkubwa wa kupiga kura basi tushushe universal suffrage ije kwenye 16 ili wenye umri huo waweze kufanya maamuzi mengine ya watu wazima - kuoa, kushtakiwa kama watu wazima, n.k n.k kwanini tushushe tu kwenye kupiga kura?
Hili la kushusha umri wa kugombea Urais kutoka 40 kuja 35 kunaweza kuwa kuzuri lakini kusihusu uchaguzi wa 2015 liwe kwa ajili ya uchaguzi wa 2020. Lakini wakiamua kuondoa hilo waondoe pia ulazima wa kuwa na shahada ya kwanza kwa mgombea wa Urais! Kwanini ni lazima mtu awe na shahada kuwa rais? kwani Urais ni kazi ya usomi?
Kiranga,'
Naona ameisema kwenye context ya mkutano wa CCM. Hiyo ni kauli inayowahusu CCM peke yao. Wasituamulie sisi Watanzania tusio ndani ya CCM ni rais wa aina gani au mwenye umri gani tunayemtaka.
Kiranga,'
Naona ameisema kwenye context ya mkutano wa CCM. Hiyo ni kauli inayowahusu CCM peke yao. Wasituamulie sisi Watanzania tusio ndani ya CCM ni rais wa aina gani au mwenye umri gani tunayemtaka.
Hiyo ndiyo imekuwa kawaida. Lakini naamini hali hiyo haitaendelea milele. Uchaguzi wa 2010 umedhihirisha hilo.Nominee wa CCM ndiye mara zote anayekuja kuwa Rais wa Tanzania.
You are right. Lakini haki za kikatiba za wana CCM zisiwe haki za kikatiba za Watanzania wengine.Wazee wa CCM nao ni raia wa Tanzania wenye haki za kikatiba za Mtanzania, sasahaoni hii kauli ni unconstitutional?
Leo tutasema hatutaki wazee kesho nani? Wachagga?
Nominee wa CCM ndiye mara zote anayekuja kuwa Rais wa Tanzania.
Hiyo ndiyo imekuwa kawaida. Lakini naamini hali hiyo haitaendelea milele. Uchaguzi wa 2010 umedhihirisha hilo.