Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Usilinganishe hali ya maisha ya Malawi na hapa kwetu. Takwimu zinaonyesha kuwa watu wengi kule wanaishi chini ya dola moja kwa siku, hospitali chache, shule hazina vitabu na kuna chuo kikuu kimoja tu. Tofauti na huku kwetu ambapo hali ya maisha ni nzuri. Kigezo kimoja ni ujenzi wa chuo kikuu cha Dodoma ambacho ni mfano kwa ukanda wote wa Afrika Mashariki. Kwa hiyo maandamano hapa ni ndoto za mchana.
Really,.....