Tatizo ni baba na mama za hao watoto ikifika wanapigiwa makelele kila siku wachague viongozi wanaojali maendeleo yao lakini ikifika wakati wa uchaguzi mbio...wanapeleka kura zao kwa mafisadi...wanavuna walichopanda and as long as the mentality in this country remains like this such schools will never cease to be present and we will keep on hearing and seeing the same or even worse situations......Inasikitisha sana kuona watoto wa wapiga kura wako wanakaa chini huku wakiendelea kusubili Maisha bora kwa kila Mtanzania ndo kama hivi sasa imekuwa ni ndoto za mchana bora ya hawa darasa limepakwa rangi ila wale wa shule ya Namtumbo ya nyasi ni aibu sana kwa Taifa. Kama imeshindikana basi tembezeni bakuri kwa ajili ya kusaidia shule hizi hiki ni kizazi ni nguvu kazi ya Taifa la kesho.
Punguzeni blah blah nyiiingi tunataka matendo mnatulostisha kwakweli.
Tatizo ni baba na mama za hao watoto ikifika wanapigiwa makelele kila siku wachague viongozi wanaojali maendeleo yao lakini ikifika wakati wa uchaguzi mbio...wanapeleka kura zao kwa mafisadi...wanavuna walichopanda..