Mtanzania haswa JF-Expert Member Oct 31, 2010 663 99 Dec 11, 2011 #1 wakuu hivi kwa nini JK hakuwaalika viongozi wenzake wa EAC countries? au walialikwa mie sikuwaona
Mungi JF Gold Member Sep 23, 2010 16,975 9,566 Dec 11, 2011 #2 Walialikwa wote, mpaka Central Africa lakini kila moja alitoa udhuru! Hapo nadhani utakuwa umejua kuwa wao wanajua kuwa tanzania haijapata uhuru bado!
Walialikwa wote, mpaka Central Africa lakini kila moja alitoa udhuru! Hapo nadhani utakuwa umejua kuwa wao wanajua kuwa tanzania haijapata uhuru bado!