Mbaha
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 697
- 73
Kama kipindi kile cha kampeni alivyokuwa anajidondosha majukwaani, ili aonewe huruma...
Usitake micheke mie!
Kama kipindi kile cha kampeni alivyokuwa anajidondosha majukwaani, ili aonewe huruma...
Moto bado ni mkali JK akiudharau utamuakia yeye maana kuna ushahidi wa kutosha kuwa mawaziri waliotuhumiwa na hata ambao hajatuhumiwa ni wezi kweli kweli, tumeona nyumba walizouziwa za Hoysterbay na masaki, wameishajenga majumba ya kutisha,wengine ndo akina Maige wananunua majumba na ma-apartments, huyo Mkulo anajenda ghorafa 8 sharifu shamab Ilala, haya wengine wamesingiziwa na hao wezi wa wazi mbana hasemi hatua za kuchukua?. Lowasa amesema JK ni gamba kuliko yeye na wenzake.
JK NI MSWAHILI SO MAWAZO YAKE PIA NI YAKe KI USWAHILI SWAHILI