Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
President Jakaya Kikwete has outlined seven reasons why Africa is poor, and suggested how the continent can overcome the grinding poverty it is grappling with.
Addressing a high level meeting in Madrid on Monday, President Kikwete said the effects of colonialism, trade imbalance, lack of reliable markets. Armed conflicts and imposed economic and political systems were the major factors that contributed to poverty in Africa.
President Kikwete made the remarks at the closure of the African Progressive Conference, which discussed the role of progressive politics in sub-Saharan Africa.
.Other factors include lack of political tranquility, armed conflicts and toppling of democratically elected governments he said amid thunderous applause.
More in todays The Citizen.
My take:
Sijui Muungwana anafanya makusudi au bado hajui lolote kwa nini Bara la Afrika ni masikini ukilinganisha na mabara mengine. Katika sababu zote alizotaja, hakuna ile ya ufisadi uliokithiri katika tawala za nchi za Afrika pamoja na utawala mbovu unaoendeshwa na viongozi wao.
Lakini pengine asilaumiwe sana kidogo kap[iga hatua kartika uelewa wa suiala hili. Miaka minne iliyopita, alipokuwa Paris, aliwaambia waandishi wa habari kwamba alikuwa hajui kwa nini nchi yake ni masikini!