MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,320
- 6,376
Tanzania haina shida ya $900M? Kama tuna uwezo wa kununua magari ya Tsh 5 trillion, $900m ni nini? Kama tunatumia mabilioni kununua suti za kuvaa wakati wa maonesho kwanini tukose hela ya kilimo? And by the way, unajuwa marekani watapata kiasi gani kwenye uranium yetu? $900 tunajilipia wenyewe, under the chief Mangungo contract!
Mkuu ni wachache wanaoweza kuchanganua hayo !