Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpango wa kuzima wabunge kugombea ujumbe wa NEC ya CCM nusurua umwengue Rais JK
Source :Mwanahalisi la Leo 15/02/2012.
Soma zaidi
Toa habari kamili mambo ya kusoma zaidi hatuyataki
Mpango wa kuzima wabunge kugombea ujumbe wa NEC ya CCM nusurua umwengue Rais JK
Source :Mwanahalisi la Leo 15/02/2012.
Soma zaidi
Kivipi fafanua sio unatoa maoni kama unamulengo fulani.Kama ni udaku mbona Ya Lowasa yalikuwa ndo mkanda wenyewe,Ya Suti,Richmond,EPA haya umeyasahauNimeishasema mara nyingi humu JF Mwanahalisi, limeishapoteza mvuto wake saizi limejikita zaidi kwenye umbeya na udaku.
R.I.P Mwanahalisi.
Na JK kawa udaku siku hiziNimeishasema mara nyingi humu JF Mwanahalisi, limeishapoteza mvuto wake saizi limejikita zaidi kwenye umbeya na udaku.
R.I.P Mwanahalisi.
Well,,japo mtoa thread kaandika kiufupi mno but the issue was,alipoibua inshu hiyo ya kuwazuia nao walianzisha habari ya mwenyekiti wa chama asiwe rais,ngoma ikawa tamu!