Kwa press release iliyotoka USA kuwapongeza watanzania kuhusu kuendeleza kuchagua viongozi kupitia mfumo wa vyama vingi bila kumpongeza Jk nina uhakika akiambiwa na Obama karibu chai atagoma. Sasa sijui kama jk ataendelea kumkumbusha Obama kuhusu vyandarua alivyosema ameahidiwa? Nahisi akina Kibaki huko walipo watakuwa wanashangilia sana maana kuna wakati Kikwete aliteta na Bush kuhusu kenya:israel::israel::israel: