Mabala The Farmer
Member
- Jul 10, 2012
- 33
- 8
Wadau nimepata habari kuwa Raisi wenu Jk,leo amekutana na wanamichezo wa Tz wanaoishi Uingereza, ameongea nao mambo mengi ya Tz na kuwaasa wasiogope. Napend nijue hv ndiyo kazi mliomchagua akaifanye? Wakati taifa lipo kwenye majonzi ya mgomo wa madaktari yeye wala haimuumi jamani? Nashangazwa sna na hili kwa kweli hebu tujitone kupambana n hii serikali dhaifu inayoendekeza mambo ambayo hata hayana tija. Mama Migiro na akili zake zote hajawahi kuyafanya hayo ili hali London ndiko alikokuwa naishi,huu ni ushamba au kukosa la kufanya?. Natoa hoja.