JK azidi kukabwa koo! Euronews - Inaonyesha FFU wakikandamiza Maandamano ya CUF

As usual, CIVIC UNITED FRONT walking the walk while Chonga Domo Milele keep talking the talk. Jitihada hizi za wanamapinduzi hawa wa CUF zimeshaionyesha Dunia nzima kwamba Tanzania mambo siyo mambo. Wakati phd's Chonga Domo Milele wao wanaendelea kunywa pombe tuu na kudai katiba mpya kwenye kompyuta.

Nancy!!!
Tusishangilie kwa kitu ambacho hakipo bado. Maandamano kuonyeshwa EuroNews ni mwanzo mzuri lakini kusudio si kuonekana huko wala CNN bali kupata katiba mpya. Na wala hakuna mwenye kusema mwisho wa siku kwamba yeye ndo ameleta mabadiliko haya. Kwa kadri tunavyotaka kupata ujiko wa nani mwanaume ndio kwa kiwango hicho pia tunapoteza lengo la uhitaji wetu.
Kina Mvungi waliwahi kutengeneza rasimu ya Katiba kama ambavyo CUF wameandaa rasimu, Waislam pia wanataraji kufanya hivyo, tumesikia Tahliso wako mbioni pia, Mnyika na hoja binafsi, Prof Shivji aliandika sana juu ya katiba tokea 1995. Hakuna katika hawa anaweza kusema yeye ndio injini ya harakati hizi.

Wengi wetu hapa tumekwisha sema, haijalishi nani anaunga mkono harakati hizi (Mkapa, Chiligati, Samatta, Bomani etc) na kwa mbinu gani, sie tunaangalia end result. Na kwamba kila mmoja wetu kwa nafasi yake anatakiwa kusababisha/kuleta/kueneza elimu hii kwa mwenzake. What we need is a New Constitution!!!

Tuacheni hii tabia ya kuzodoana kana kwamba kundi moja ndio litaleta mabadiliko haya, tunahitajiana sasa kuliko wakati mwingine wowote. Harakati hizi zinahusu wanazuoni, viongozi wa dini, vyama vya siasa, NGOs, makundi ya wafanyakazi, wanafunzi, wakulima, wanaharakati n.k.

Nancy naamini hukuwa mmoja wa waandamanaji, kwa msingi huo hukupigwa na pengine hujawahi pigwa mabomu ya mchozi na maji washa. Na hata kama umewahi kuandamana bado huna haki ya kubeza mchango wa anayehubiri kanisani/msikitini au kutumia komputa kudai katiba mpya.

Au unataka CDM nao waseme CUF hawakuwa "wanaume" kiasi cha kushindwa kushinikiza wabunge wao walioporwa ushindi kutangazwa washindi ktk mikoa ya Lindi na Mtwara tofauti na wenzao CDM walivyofanya/komaa Kawe, Ubungo, Mbeya, Mwanza, Arusha etc

Nachukia tunapotukuza u-CDM au u-CUF juu ya madai yetu ya msingi ambayo ni New Constitution na New NEC.

Pamoja tutafika!!!!!
 
Aaaah kama kawa wazee wa kutumiwa CUF, ingawa dunia imeona nini kinaendelea Tanzania, CUF wametumiwa tu kuharibu the move ambayo chadema walikuwa wanakuja nayo... hii ni ktk kuonesha kuwa madai ya katiba kwa maandamano yataketa vurugu na kila aina ya vitishi ilimradi ukweli usijulikane... Hao CUF hilo la katiba mpya wanaliona leo??? mbona wamekubali kuhongwa kila kona ukianzia zanzibar mpaka bara??? Wangekuwa na ustaarabu na genuine madai basi wangeungana na wenzao wapeleke mashambulizi... Duh CUF kwishaaaaaaaaaaaaaaa
 
Ni vizuri sana tunavyopata hii world media coverage .. Watu wataona upumbavu wa jk na serikali yake..

Hata al jazeera nao walirusha mapambambo ya ffu na cuf.. Cha ajabu hawakuwa wanafanya hata fujo bali ni maandamano ya amani.

Tutazidi kupambana na ccm na mafisadi wao hadi kieleweke..
 
Nancy!!!
Tusishangilie kwa kitu ambacho hakipo bado. Maandamano kuonyeshwa EuroNews ni mwanzo mzuri lakini kusudio si kuonekana huko wala CNN bali kupata katiba mpya. Na wala hakuna mwenye kusema mwisho wa siku kwamba yeye ndo ameleta mabadiliko haya. Kwa kadri tunavyotaka kupata ujiko wa nani mwanaume ndio kwa kiwango hicho pia tunapoteza lengo la uhitaji wetu.
Kina Mvungi waliwahi kutengeneza rasimu ya Katiba kama ambavyo CUF wameandaa rasimu, Waislam pia wanataraji kufanya hivyo, tumesikia Tahliso wako mbioni pia, Mnyika na hoja binafsi, Prof Shivji aliandika sana juu ya katiba tokea 1995. Hakuna katika hawa anaweza kusema yeye ndio injini ya harakati hizi.

Wengi wetu hapa tumekwisha sema, haijalishi nani anaunga mkono harakati hizi (Mkapa, Chiligati, Samatta, Bomani etc) na kwa mbinu gani, sie tunaangalia end result. Na kwamba kila mmoja wetu kwa nafasi yake anatakiwa kusababisha/kuleta/kueneza elimu hii kwa mwenzake. What we need is a New Constitution!!!

Tuacheni hii tabia ya kuzodoana kana kwamba kundi moja ndio litaleta mabadiliko haya, tunahitajiana sasa kuliko wakati mwingine wowote. Harakati hizi zinahusu wanazuoni, viongozi wa dini, vyama vya siasa, NGOs, makundi ya wafanyakazi, wanafunzi, wakulima, wanaharakati n.k.

Nancy naamini hukuwa mmoja wa waandamanaji, kwa msingi huo hukupigwa na pengine hujawahi pigwa mabomu ya mchozi na maji washa. Na hata kama umewahi kuandamana bado huna haki ya kubeza mchango wa anayehubiri kanisani/msikitini au kutumia komputa kudai katiba mpya.

Au unataka CDM nao waseme CUF hawakuwa "wanaume" kiasi cha kushindwa kushinikiza wabunge wao walioporwa ushindi kutangazwa washindi ktk mikoa ya Lindi na Mtwara tofauti na wenzao CDM walivyofanya/komaa Kawe, Ubungo, Mbeya, Mwanza, Arusha etc

Nachukia tunapotukuza u-CDM au u-CUF juu ya madai yetu ya msingi ambayo ni New Constitution na New NEC.

Pamoja tutafika!!!!!

keep talking the talk buddy. "mpaka kieleweke" kwa mdomo tuu
 
As usual, CIVIC UNITED FRONT walking the walk while Chonga Domo Milele keep talking the talk. Jitihada hizi za wanamapinduzi hawa wa CUF zimeshaionyesha Dunia nzima kwamba Tanzania mambo siyo mambo. Wakati phd's Chonga Domo Milele wao wanaendelea kunywa pombe tuu na kudai katiba mpya kwenye kompyuta.

Madai ya katiba mpya yako tangu 2001, yamekuwa yakipuuzwa na kumekuwa hamna impact yoyote. Kama sio Chadema ku-walk out of Bunge hata hawa wasingekuwa na ubavu wa kuandamana. Usianze kuwa na kinyongo kama huna hela ya kupanda stuli ndefu...
 
Hii maneno niiona juzi saa saba usiku Al Jazeera,kwa kweli nawapongeza CUF maandamano yao yamepata coverage kubwa sana kwenye media za kimataifa mkwere anaweza kubana TBC1 kwingineko hawezi.

Nawapongeza CUF wameweza kufanya kitu amabacho wengine wameshindwa kabisa kudai katiba mpya kwenye ukumbi wa maelezo kumepitwa na wakati asasi za kiraia na vyama vya siasa vichukue hatua zaidi kwa kutoa elimu ya uraia mashuleni,vyuoni,vyama vya wafanyakazi,makanisani,misikitini halafu maandamano ya kudai katiba yaandaliwe nchi nzima [Vijijini,wilayani na mijini] kwa wakati mmoja .
 
Usianze kuwa na kinyongo kama huna hela ya kupanda stuli ndefu...

Looh...! pole sana. Namshukuru Mungu kwamba nina uwezo wa kumiliki bar na kuwauzia pembe walevi kama ningependa kufanya hivyo. Na pia namshukuru mungu kwamba "self intoxication is not, and has never been part of my life".

Jogoo la mapinduzi, au wana CUF ngangari huwa wanatenda tuu bila ya kubwabwaja. Na hiyo ndiyo tofauti ya chama chenye wafuasi wenye akili timamu na chama chenye wafuasi walevi.
 
Madai ya katiba mpya yako tangu 2001, yamekuwa yakipuuzwa na kumekuwa hamna impact yoyote. Kama sio Chadema ku-walk out of Bunge hata hawa wasingekuwa na ubavu wa kuandamana. Usianze kuwa na kinyongo kama huna hela ya kupanda stuli ndefu...
Kwangu mimi hiyo ndo Avatar bora ya mwaka, thanks kwa ubunifu.
 
Wapenzi wa CDM Naona mmeanza kutishika na mbwembwe za CUF. Si lazima tuwaige, kila chama kina strategies zake. Kwanza hatujui motives va hao CCM B, so wasitusumbue sana.
 
Mbona mliyabeza humu JF? Lakini watanzania wengi na jumuiya za kimataifa zimeyaona kwa jicho la ukweli na si la husda kama wanaJF walivyoyaona hayo maandamano.
 
Aaaah kama kawa wazee wa kutumiwa CUF, ingawa dunia imeona nini kinaendelea Tanzania, CUF wametumiwa tu kuharibu the move ambayo chadema walikuwa wanakuja nayo... hii ni ktk kuonesha kuwa madai ya katiba kwa maandamano yataketa vurugu na kila aina ya vitishi ilimradi ukweli usijulikane... Hao CUF hilo la katiba mpya wanaliona leo??? mbona wamekubali kuhongwa kila kona ukianzia zanzibar mpaka bara??? Wangekuwa na ustaarabu na genuine madai basi wangeungana na wenzao wapeleke mashambulizi... Duh CUF kwishaaaaaaaaaaaaaaa
Nasikia wewe ni scientist wa kuzibua vyoo. Ndo maana muda wote upo vyooni then huwezi sikiliza kinachoendelea duniani. CUF wameandamana kudai katiba mpya tangu 2001. Kwa taarifa yako, akina Lipumba walivunjwa mikono na askari wa mkapa, mahita. akina seif wamelala ndani mara kibao. nashauri urudi tu kwenye fani yako.
 
Wapenzi wa CDM Naona mmeanza kutishika na mbwembwe za CUF. Si lazima tuwaige, kila chama kina strategies zake. Kwanza hatujui motives va hao CCM B, so wasitusumbue sana.

Kwani motive ya chadema nini? kuingiza kwenye katiba misamaha ya kodi kwa mashirika ya dini? Be specific.
 
Back
Top Bottom