KABAVAKO
JF-Expert Member
- Apr 5, 2011
- 229
- 32
Rais wa Tanzania, mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameunda kamati ya matajiri wa nchi hii kwa ajiri ya kukusanya michango ya watanzania kwa ajili ya kuwasaidia wasomali wanakufa kwa nja. Mwenyekiti wa kamati hiyo akiwa ni Bwaba Reginald Mengi na wajumbe kadhaa akiwemo Haruna Zakaria, Said Bakhresa na Mohammed Dewji. Takribani tan 200 za vyakula mbali mbali zimechangwa na matajiri hao. Mheshimiwa Rais amewaomba watanzania kuwachangia wasomali kupitia kamati hiyo.