haina haja ya picha wala video kama katoa kafara inatosha kusema na sisi tunaamini anaweza fanya hivyo kwani hali yake ni mbaya sana
Zinachakachuliwa, labda walete tukio lenyewe :lol::gossip::kev::A S-confused1:
unless una videos (sio photos sababu they can be photoshopped) this is very hard to substanciate.....
shehe yahya alikuwepo?
Ndani ya wiki hii kuna jamaa yangu mmoja anakaa maeneo ya MSOGA kaniambia kwamba JK alikuwa anatoa kafara/tambiko kwa kuchinja Mbuzi pale MSOGA nyumbani kwake.
my quote:
Hii wana JF mimi inanidhihirishia jamaa (JK) ni maji ya shingo
huyo mganga mkweli sana bse maandamano mwiba mchungu kwa JK...... mbaya wake chadema!
<br /><img src="http://www.thecitizen.co.tz/images/stories/kikweteccmki.jpg" border="0" alt="" /> Mungu wangu nisaidie . hivi 2011 tumeianza, inamaana bado miaka 4 tu. Duuu na zile ahadi zangu 70 sitaanza hata moja, maana yote ni miradi mikubwa itachukua zaidi ya miaka 5. Any way tajua jinsi ya kuicheza hii ngoma tena 2015. Nadhani nianze kwa kuwamaliza kwanza maadui zangu.
<br /><img src="http://www.thecitizen.co.tz/images/stories/kikweteccmki.jpg" border="0" alt="" /> Mungu wangu nisaidie . hivi 2011 tumeianza, inamaana bado miaka 4 tu. Duuu na zile ahadi zangu 70 sitaanza hata moja, maana yote ni miradi mikubwa itachukua zaidi ya miaka 5. Any way tajua jinsi ya kuicheza hii ngoma tena 2015. Nadhani nianze kwa kuwamaliza kwanza maadui zangu.