JK atinga G.Unit

safari hii hajaonyesha yale mapozi ya kisharobalo ya kukunjakunja vidole

naona mnajiweka katika leval ya JK .... ! JK ni Rais.... ni wazi kwamba 50cent ndio ameomba kupiga picha na JK... sasa wewe ungekuwa JK na 50cent ametaka kupiga picha na wewe .. ungekataaa....????

hebu wekeni chuki binafsi pembeni ....
 


naona mnajiweka katika leval ya JK .... ! JK ni Rais.... ni wazi kwamba 50cent ndio ameomba kupiga picha na JK... sasa wewe ungekuwa JK na 50cent ametaka kupiga picha na wewe .. ungekataaa....????

hebu wekeni chuki binafsi pembeni ....

Mkuu ulikuwepo wakati picha inataka kupigwa? Maana inajionyesha kana kwamba wewe ndie ulikua mpiga picha..haya ya kusema ni wazi kwamba 50 Cent ndie alieomba kupiga picha na muhishiwa umeyajuaje?!
In whatever scenario, that's too low for a president of a united republic!! Hata kama aliombwa, kwani ombi lazima likubaliwe? Who is 50 Cent kwa rais wa jamhuri?! Hapo ndipo muhishiwa uwa hatumii akili na busara, anachanganya utashi wake kama Raia na utashi wake kama Rais wa Jamhuri!! Kama raia hisingekua ishu kupiga picha na 50; lakini kama rais hakupaswa kupiga picha na mtu ambae hata nyimbo zake hazina mafundisho yoyote ya maana kwa manufaa ya nchi yetu!!
 
Word!

I guess H Thabeet was like 'its no big deal' wonder if hed be drapped in the same attire were he to meet Obama ?

The full France squad team met their prime minister clad in suits, they might have plaited their hairs pierced their ears but definetly respects authority

Hasheem wouldn't dare meet the queen in THAT! He belittled our presdaa really

How? Who belittled who in this case? who had the upper hand here?
 
Yaani Mkere anavyojua kutumua kodi za walalahoi! Hebu fikiria matatizo na ukata tulionao yeye anafunga safari kumuona50Cent!
Mnakumbuka alivyokwenda Jamaica akaenda kubembea kwenye Skyline na usiku akahudhuria tamasha la Reggae( ambako ukumbini bangi ni halali!)[/QUOTE]

lol! this is too much jamani...so JK attended a joint club smoking clat!
 
Back
Top Bottom