Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Mmmmm!!!!!!
safari hii hajaonyesha yale mapozi ya kisharobalo ya kukunjakunja vidole
Mbona umechelewa hivyo kugundua?! Pole sanaNatumaini sio photoshop,kama ni kweli basi huyu jamaa ni mtupu kuliko nilivyodhania
naona mnajiweka katika leval ya JK .... ! JK ni Rais.... ni wazi kwamba 50cent ndio ameomba kupiga picha na JK... sasa wewe ungekuwa JK na 50cent ametaka kupiga picha na wewe .. ungekataaa....????
hebu wekeni chuki binafsi pembeni ....
Word!
I guess H Thabeet was like 'its no big deal' wonder if hed be drapped in the same attire were he to meet Obama ?
The full France squad team met their prime minister clad in suits, they might have plaited their hairs pierced their ears but definetly respects authority
Hasheem wouldn't dare meet the queen in THAT! He belittled our presdaa really
How? Who belittled who in this case? who had the upper hand here?
Sio photoshop mkuu,huyo 50 ameiweka hiyo picha kwenye page yake ya facebookNatumaini sio photoshop,kama ni kweli basi huyu jamaa ni mtupu kuliko nilivyodhania
Yaani Mkere anavyojua kutumua kodi za walalahoi! Hebu fikiria matatizo na ukata tulionao yeye anafunga safari kumuona50Cent!
Mnakumbuka alivyokwenda Jamaica akaenda kubembea kwenye Skyline na usiku akahudhuria tamasha la Reggae( ambako ukumbini bangi ni halali!)[/QUOTE]
lol! this is too much jamani...so JK attended a joint club smoking clat!