fangfangjt
JF-Expert Member
- Apr 25, 2008
- 571
- 139
JK atangaza ushindi kupitia facebook page yake
JAKAYA MRISHO KIKWETE FOR 2010 | Facebook
JAKAYA MRISHO KIKWETE FOR 2010 "Kwa ridhaa ya wananchi wa Tanzania,Mheshimiwa Rais Kikwete umekuchaguilwa katika kipindi kingine cha miaka mitano ya uongozi wa nchi hii,ili kuwatumikia wananchi katika shughuli zao za maendeleo ili kuliendeleza Taifa letu katika karne hii ya Ishirini na moja.Kwa niaba ya Vijana wenzangu wa Tanzania,napenda kutumia fursa hii kukupongeza kwa ushindi wa kishindo,pamoja na kukunakia kheri katika kuliongoza Taifa letu."
JAKAYA MRISHO KIKWETE FOR 2010 | Facebook
JAKAYA MRISHO KIKWETE FOR 2010 "Kwa ridhaa ya wananchi wa Tanzania,Mheshimiwa Rais Kikwete umekuchaguilwa katika kipindi kingine cha miaka mitano ya uongozi wa nchi hii,ili kuwatumikia wananchi katika shughuli zao za maendeleo ili kuliendeleza Taifa letu katika karne hii ya Ishirini na moja.Kwa niaba ya Vijana wenzangu wa Tanzania,napenda kutumia fursa hii kukupongeza kwa ushindi wa kishindo,pamoja na kukunakia kheri katika kuliongoza Taifa letu."