Labda alishawahi kuwa mc huko nyuma basi kama sivyo amesoma alama za nyakati, huyu jamaa anajiandaa vyema kwa kazi hiyo baada ya oktoba 31 kwani kila nikitafakari anayoyasema na ahadi anazotoa hana tofauti na mc kwenye sherehe anayetia madoido kama kusema "hii shela ya bibi harusi imeshonwa mbinguni" . Alifanya usanii huo mwaka 2005 akapewa nchi yeye, mafisadi pamoja na familia yake wakaiharibu na sasa anaitaka tena, HATUKUBALI. After 31 october tutakuwa na mc mzuri sana, tumtumie!
Hii ni NGUVU YA UMMA.
Hii ni NGUVU YA UMMA.