JK Atakapokuwa Hana "cha Kupoteza!"

Heshima yako mkubwa!

Kila binadamu ana mapungufu yake na hakuna anayeweza kusimama leo na kusema yeye yupo kamili na Mungu amemuumba na kumpa kila kitu.Kinachotofautisha haya mapungufu ni kiwango.Kuna wenye mapungufu mengi na machache.Buchanan amewasilisha hoja yake.Cha msingi ni kuchangia hoja yake - kuna supporting ideas na critics.Mtu ukiichukulia hoja kama personal attack ndio mwanzo wa kuanza kurushiana maneno machafu.Ninavyoelewa kila mtu ana haki ya kuongea chochote ili mradi tu asivunje sheria.Kwa nini tusiwape haki kila mtu aseme atakalo?

The only positive thing tunachoweza kufanya ni kuendeleza thread na siyo kutukanana.Kila mtu ana akili - kinachotofautisha ni utimamu au vinginevyo.LAKINI zote ni akili.

Nawasilisha.

Afadhali umesema wewe ndugu yangu! Huyu jamaa yetu hajibu hoja kwa hoja anakimbilia tu matusi, nk. Mimi nimewasema Mzee Mkapa (Mkristo) pamoja na Mzee Mwinyi (Mwislamu) lakini yeye amekimbilia kumtetea Mzee Ruksa pekee kwa sababu anazozijua mwenyewe! But the fact remains, Mwinyi alifanya attempt ya kuiingiza nchi yetu kwenye OIC kinyemela bila hata ya Bunge letu tukufu kufahamu! Kwani huu ni uwongo jamani? Mtu anayeona kwamba mimi nasema uwongo aseme hivyo na si matusi. Na kilichomfanya Mwinyi aachane na mpango wake ni nini kama anaona alikuwa sahihi?
 
Wewe ndio kilaza huwezi kuchambua jambo lolote lile la kitaifa bila kuwataja waislamu na waarabu kwasababu za chuki zako za kidini..inaonyesha uwezo wako mdogo wa kufikiri..pole sana

Huo uwezo wako wa kufikiri unaodhani kwamba unao umekuwezesha kujenga hoja ipi au umechambua kipi? Na kama nikiwataja Waislamu na Waarabu kuna ubaya gani? Acha inferiority complex, hazitakusaidia lolote wala mtu mwingine!
 
Back
Top Bottom