Supervisor
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 559
- 207
Wana Jf.
Leo nimekuwa mbali na vyombo vya habari kwa hiyo cjaweza kujua kama leo `Bw Mkubwa` atahutubia Taifa letu hili linalohitaji katiba Mpya na sio viraka kama anavyotaka muraaa!
Nijulisheni...
Leo nimekuwa mbali na vyombo vya habari kwa hiyo cjaweza kujua kama leo `Bw Mkubwa` atahutubia Taifa letu hili linalohitaji katiba Mpya na sio viraka kama anavyotaka muraaa!
Nijulisheni...