T2015CCM
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 7,931
- 987
Nadhani atakuwa anaanza kutumia busara, kwa kuwa njia peke yake ya kuepuka yeye na genge lake la magamba kutopelekwa the Hague, ni kukubali matakwa ya wananchi watakayosema kwenye sanduku la kura 2015, lakini akijifanya mkaidi na kuwatumia kina Mwema, Chagonja na Kamuhanda wake, atakuwa anajitafutia trip ya chapu chapu ya kwenda the Hague. Naamini hapendi yaliyomtokea mwenzake Charles Taylor!!
ukimaliza kuota kapige mswaki ukazurure.hapa tanzania hakuna kiongozi anaefanana wala kukaribiana na tylor