JK asifiwa kuhusu OBAMA

What does top quality leadership have to do with the ability to speak fluent english?

The issue is not only English but also poor judgement.Kikwete kama anajua Kiingereza chake cha manati angeweza kuongea Kiswahili, lugha inayotambulika mpaka UN, na kuacha wakalimani wamsaidie kutafsiri, lakini kwa poor judgement yake hakuchagua kufanya hivyo.
 
hebu tuache blah blah, tuanze kuichambua hiyo sentensi ya muungwana linguistically, logically, tuone kwamba sentensi hiyo ina maana gani?

naanza kwanza hapa kuonyesha excite ina maana gani.

146 Moby Thesaurus words for "excite":
activate, affect the interest, agitate, anger, animate, annoy,
arouse, attract, awake, awaken, beat, beat up, begin,
blow the coals, blow up, bring about, call forth, call up, cause,
churn, churn up, concern, convulse, cultivate, disarrange,
discompose, disconcert, disquiet, disturb, effect, electrify,
elicit, energize, enkindle, enliven, enrage, excite interest, fan,
fan the fire, fan the flame, fascinate, feed the fire, ferment,
fire, fire up, flame, flurry, fluster, foment, frenzy, fret,
galvanize, generate, get going, heat, heat up, hop up, ignite,
impassion, incense, incite, inflame, infuriate, initiate, inspire,
inspirit, instigate, interest, intrigue, invigorate, invite,
involve in, key up, kindle, lather up, light the fuse, light up,
madden, make sensitive, motivate, move, nettle, occasion,
overexcite, paddle, perturb, perturbate, pique, prime, prod,
provoke, put up to, quicken, rally, refine, rile, ripple, roil,
roughen, rouse, ruffle, rumple, sensibilize, sensitize, set astir,
set fire to, set in motion, set on, set on fire, shake, shake up,
sharpen, sic on, spark, spur on, start, steam up, stimulate, stir,
stir the blood, stir the embers, stir the feelings, stir up,
summon up, swirl, tantalize, thrill, tickle, titillate, touch off,
trouble, turn on, upset, urge, wake, wake up, waken, warm,
warm the blood, whet, whip, whip up, whisk, wind up, work into,
work up
 
wale wanaodai Content ya lugha ya Muungwana ina makosa watueleze makosa ni nini?.

waungwana kumbukeni hata kama ni kutumia verb excite, "electrons can be excited to jump from from low energy levels to high energy levels". sasa in in the sense of using the verb "excite" kosa la muungwana liko wapi linguistically na logically?
 
hebu tuache blah blah, tuanze kuichambua hiyo sentensi ya muungwana linguistically, logically, tuone kwamba sentensi hiyo ina maana gani?

naanza kwanza hapa kuonyesha excite ina maana gani.

146 Moby Thesaurus words for "excite":
activate, affect the interest, agitate, anger, animate, annoy,
arouse, attract, awake, awaken, beat, beat up, begin,
blow the coals, blow up, bring about, call forth, call up, cause,
churn, churn up, concern, convulse, cultivate, disarrange,
discompose, disconcert, disquiet, disturb, effect, electrify,
elicit, energize, enkindle, enliven, enrage, excite interest, fan,
fan the fire, fan the flame, fascinate, feed the fire, ferment,
fire, fire up, flame, flurry, fluster, foment, frenzy, fret,
galvanize, generate, get going, heat, heat up, hop up, ignite,
impassion, incense, incite, inflame, infuriate, initiate, inspire,
inspirit, instigate, interest, intrigue, invigorate, invite,
involve in, key up, kindle, lather up, light the fuse, light up,
madden, make sensitive, motivate, move, nettle, occasion,
overexcite, paddle, perturb, perturbate, pique, prime, prod,
provoke, put up to, quicken, rally, refine, rile, ripple, roil,
roughen, rouse, ruffle, rumple, sensibilize, sensitize, set astir,
set fire to, set in motion, set on, set on fire, shake, shake up,
sharpen, sic on, spark, spur on, start, steam up, stimulate, stir,
stir the blood, stir the embers, stir the feelings, stir up,
summon up, swirl, tantalize, thrill, tickle, titillate, touch off,
trouble, turn on, upset, urge, wake, wake up, waken, warm,
warm the blood, whet, whip, whip up, whisk, wind up, work into,
work up
Personally nafikiri dictionary inaweza ku serve better na thesaurus is more kwa muandishi anayetafuta alternate words.

At the very best he used a word whose first meaning in common usage is a positive feeling.Unaposema "I am excited about this new role" kwenye job interview unaeleza kufurahishwa na kazi mpya.Kama excitement siyo positive inahitaji qualification na explanation kama inavyoonyeshwa hapo chini kutoka dictionary.com

I am trying to figure out what did Kikwete really mean, was he trying to convey a sense of optimism no matter who thye next president is, as long as he (my god, I would love to hear Clinton's take on this sexist remark) is a friend of Africa.

http://dictionary.reference.com/browse/excite

1. to arouse or stir up the emotions or feelings of: to excite a person to anger; actions that excited his father's wrath.
2. to arouse or stir up (emotions or feelings): to excite jealousy or hatred.
3. to cause; awaken: to excite interest or curiosity.
4. to stir to action; provoke or stir up: to excite a dog by baiting him.
5. Physiology. to stimulate: to excite a nerve.
6. Electricity. to supply with electricity for producing electric activity or a magnetic field: to excite a dynamo.
7. Physics. to raise (an atom, molecule, etc.) to an excited state.
 
Personally nafikiri dictionary inaweza ku serve better na thesaurus is more kwa muandishi anayetafuta alternate words.

At the very best he used a word whose first meaning in common usage is a positive feeling.Unaposema "I am excited about this new role" kwenye job interview unaeleza kufurahishwa na kazi mpya.Kama excitement siyo positive inahitaji qualification na explanation kama inavyoonyeshwa hapo chini kutoka dictionary.com

I am trying to figure out what did Kikwete really mean, was he trying to convey a sense of optimism no matter who thye next president is, as long as he (my god, I would love to hear Clinton's take on this sexist remark) is a friend of Africa.

http://dictionary.reference.com/browse/excite

1. to arouse or stir up the emotions or feelings of: to excite a person to anger; actions that excited his father's wrath.
2. to arouse or stir up (emotions or feelings): to excite jealousy or hatred.
3. to cause; awaken: to excite interest or curiosity.
4. to stir to action; provoke or stir up: to excite a dog by baiting him.
5. Physiology. to stimulate: to excite a nerve.
6. Electricity. to supply with electricity for producing electric activity or a magnetic field: to excite a dynamo.
7. Physics. to raise (an atom, molecule, etc.) to an excited state.

Sexist remark...? Nah...and I doubt Clinton would take exception to it...she's too sophisticated to know the President didn't mean any harm...
 
wale wanaodai Content ya lugha ya Muungwana ina makosa watueleze makosa ni nini?.

waungwana kumbukeni hata kama ni kutumia verb excite, "electrons can be excited to jump from from low energy levels to high energy levels". sasa in in the sense of using the verb "excite" kosa la muungwana liko wapi linguistically na logically?

Tatizo ni kuwa "excitement" default common usage yake ni "kufurahi".Na Kikwete hajaidevelop kuitoa katika common meaning yake. Kwa hiyo watu wakisoma wanaona kama Kikwete anafurahi kuona Bush anaondoka, kama vile alikuwa hapendi Bush kuwa rais na sasa Bush anaondoka Kikwete anafurahi.
 
Personally nafikiri dictionary inaweza ku serve better na thesaurus is more kwa muandishi anayetafuta alternate words.

At the very best he used a word whose first meaning in common usage is a positive feeling.Unaposema "I am excited about this new role" kwenye job interview unaeleza kufurahishwa na kazi mpya.Kama excitement siyo positive inahitaji qualification na explanation kama inavyoonyeshwa hapo chini kutoka dictionary.com

I am trying to figure out what did Kikwete really mean, was he trying to convey a sense of optimism no matter who thye next president is, as long as he (my god, I would love to hear Clinton's take on this sexist remark) is a friend of Africa.

http://dictionary.reference.com/browse/excite

1. to arouse or stir up the emotions or feelings of: to excite a person to anger; actions that excited his father's wrath.
2. to arouse or stir up (emotions or feelings): to excite jealousy or hatred.
3. to cause; awaken: to excite interest or curiosity.
4. to stir to action; provoke or stir up: to excite a dog by baiting him.
5. Physiology. to stimulate: to excite a nerve.
6. Electricity. to supply with electricity for producing electric activity or a magnetic field: to excite a dynamo.
7. Physics. to raise (an atom, molecule, etc.) to an excited state.

Well hata kama thesarraus unatumia neno mbadala lakini neno lenyewe lazima liwe na maana inayoshabihiana na neno lako la awali.

nije sasa katika hiyo quote uliyotoa,
3. to cause; awaken: to excite interest or curiosity

ni dhahiri kwamba kwa kuwa "Bush is in the end of his term" then ana 1:cause curiosity, 2:ana aweken curiosity. kwa maana kwamba watu wako "curious" kuhusu Marekani under the new person
whether that person will be better than Bush or worse could be one of the reasons for their curiosity.(who knows?).
Again ni wapi Muungwana alipokosea?
 
Tatizo ni kuwa "excitement" default common usage yake ni "kufurahi".Na Kikwete hajaidevelop kuitoa katika common meaning yake. Kwa hiyo watu wakisoma wanaona kama Kikwete anafurahi kuona Bush anaondoka, kama vile alikuwa hapendi Bush kuwa rais na sasa Bush anaondoka Kikwete anafurahi.

Pundit, you are too hard on him man. Some things you just let them slide coz you know he didn't mean that. Ukiangalia maudhui/ muktadha wa kile alichosema utaona kwamba hakumaanisha chochote kibaya. Sasa tatizo liko wapi? Jamani tuwe watu wa kuelewa angalau kidogo....duh!!
 
Sexist remark...? Nah...and I doubt Clinton would take exception to it...she's too sophisticated to know the President didn't mean any harm...

Of course Clinton should know better.

The problem is we are leaving things to chances, tunategemea watu watupe benefit of doubt.

By the way Kikwete anaboronga sio Kiingereza tu, hebu muangalie hapa You tube anavyoboronga katika issue inayoweza ku open old wounds na kusababisha vita.

Anaongea pumba kichizi hakuhitaji kuitaja miji yote ya Uganda.

[media]http://www.youtube.com/watch?v=4fGZYOs7hOM[/media]
 
Tatizo ni kuwa "excitement" default common usage yake ni "kufurahi".Na Kikwete hajaidevelop kuitoa katika common meaning yake. Kwa hiyo watu wakisoma wanaona kama Kikwete anafurahi kuona Bush anaondoka, kama vile alikuwa hapendi Bush kuwa rais na sasa Bush anaondoka Kikwete anafurahi.

Hayo ndiyo mambo tunayokataa sisi, kwamba kwa kuwa unafahamu hiki kiko hivi basi hakiwezi kuwa vile, kama umeshindwa kuelewa Muungwana alikuwa na maana gani kilugha then analyse hiyo sentensi logically utagundua kwamba Muungwana kakosea au la?.
 
Hayo ndiyo mambo tunayokataa sisi, kwamba kwa kuwa unafahamu hiki kiko hivi basi hakiwezi kuwa vile, kama umeshindwa kuelewa Muungwana alikuwa na maana gani kilugha then analyse hiyo sentensi logically utagundua kwamba Muungwana kakosea au la?.

Analyze wewe basi utuambie alikuwa na maana gani? By the way uliona Bush alivyomwangalia wakati anasema hivyo?
 
Kama hujiu Kiingereza ongea Kiswahili watu watakuwekea interpreters. Ukishaongea Kiingereza maana yake unajua Kiingereza na ukikosea tunakulima kama kawaida.

...angalia anayesema hayo maneno na alichoandika!
 
...angalia anayesema hayo maneno na alichoandika!

Your point is? The context ni for the president of the United Republic of Tanzania.Mtu ambaye ana dhamana ya watu na kuwawakilisha.

Idd Amin wakati wa scandal ya Watergate aliwahi kumtumia Nixon a sorta satirrical message akimtaka apate "a speedy recovery" kutoka Watergate.Angalau Idd Amin unaweza kusema hakutumia the most appropriate phrase lakini maana yake ilifahamika.Kikwete on the other hand hata haeleweki anasema nini.

Siwezi kumsifia mtu ambaye hata sina uhakika alimaanisha nini.
 
JK nilimwangalia kwenye CNN ameongea vizuri sana ingawaje kuna kuchapia hapa na pale lakini sioni tatizo na ninajua wazungu wako smart kujua English sio lugha yetu kwa hiyo hawategemei any perfection tukiongea hiyo lugha,na wala kujua/kutokujua kiingereza sio kipimo cha akili ya mtu...Pundit kwa watu wasomi na wanaoelewa mambo wanajua tunaongea lugha tofauti na wala kuongea kiingereza sio kwamba watakuona wa maana,sana sana watafurahi tuu umerahisisha mawasiliano lakini sio kipimo cha akili....kumbuka Albert einsten alikuwa na kiingereza kibovu kweli kweli lakini walimpa kazi ya kuwafundisha science.
 
Your point is? The context ni for the president of the United Republic of Tanzania.Mtu ambaye ana dhamana ya watu na kuwawakilisha.

...unasema watu wasichanganye lugha lakini wewe ndicho ulichofanya hapo juu!
 
JK nilimwangalia kwenye CNN ameongea vizuri sana ingawaje kuna kuchapia hapa na pale lakini sioni tatizo na ninajua wazungu wako smart kujua English sio lugha yetu kwa hiyo hawategemei any perfection tukiongea hiyo lugha,na wala kujua/kutokujua kiingereza sio kipimo cha akili ya mtu...Pundit kwa watu wasomi na wanaoelewa mambo wanajua tunaongea lugha tofauti na wala kuongea kiingereza sio kwamba watakuona wa maana,sana sana watafurahi tuu umerahisisha mawasiliano lakini sio kipimo cha akili....kumbuka Albert einsten alikuwa na kiingereza kibovu kweli kweli lakini walimpa kazi ya kuwafundisha science.

Koba,

Tatizo linakuja kwamba Kiingereza kama kibovu tumia Kiswahili wakalimani watakusaidia. Katika kujidai unajua Kiingereza wakati hujui ndiyo unatumia maneno kama "excitement" sehemu isiyo yake na unaweza kusababisha a foreign policy brouhaha.

Kuna habari ya jinsi gani ufalme ulipotezwa kwa sababu mwanajeshi hakufunga kamba za viatu.Kiingereza hapa ni sawa na kamba za viatu.Mwanajeshi hawezi kwenda vitani bila kufunga kamba za viatu (the most basic thing) Muwakilishi wetu namba moja katika mambo ya kimataifa hawezi kuwa hajui kiingereza na hatumii wakalimani.

Yaani Mlimani, miaka kibao kwenye cabinet incluing as Foreign Minister jamaa bado ngeli haijatulia? Anashindwa kutoa kitu kinachoeleweka?

Lakini tatizo ni letu sote, yaani waandishi wa habari badala ya kuuliza maswali ya kambi za kijeshi za Marekani zinazokuja wanaenda kuuliza swali la Obama.Mpaka tunakuja kusoma habari MSNBC!
 
...unasema watu wasichanganye lugha lakini wewe ndicho ulichofanya hapo juu!
1. Sijasema popote kuwa watu wasichanganye lugha.Kwanza tatizo la Kikwete sio kuchanganya lugha.Tatizo la Kikwete alitumia lugha asiyoijua vizuri.

2.Nilishasema kuwa it is one thing kwangu mimi ambaye siyo elected official ninayeandika hapa JF under an assumed pen name, na rais wa Tanzania anayeongea katika press conference.Nishampa pass Nyani kuharibu (also by induction any non elecetd person in a non public capacity) kwa hiyo mimi nikiboronga hapa ni swala la mimi kutoamua kutumia standards za juu.Mimi naweza kusema as long as watu wananielewa poa, rais wa Tanzania hawezi kusema hivyo inabidi atumie lugha sahihi.
 
Back
Top Bottom