Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Watanzania by far hatujui lugha, Kiswahili au Kiingereza, mfano ni bodi hii hapa.
Tatizo ni kwamba, ingawa tuna wachache wanaoshine, hatuna system ambayo hairuhusu watu kupanda kwa merit.Rais wa Tanzania anapatikana kwa politiki nyingi kuliko merit.Kikwete hkupanda kwa merit ila kwa politiki. Waliompigia kura wamepata walicho deserve.
Hapa sasa tuko kwenye ukurasa sawa. Kweli sisi hatujui lugha.
Kuhusu mfumo wetu, ni kweli hauzingatii uwezo na uzoefu wa mtu. Mimi toka mwanzo sikudhani na hadi sasa sidhani kama Kiwete anafaa kuwa raisi wetu. Sidhani kama ana uwezo tosha wa kushikilia ofisi ile.