Shauri
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 804
- 453
View attachment 23854View attachment 23855 wana jf
nashindwa kuelewa kwa nini arejeapo jk kutoka majuu lazima viongozi wote muhimu waende kumpokea?kwani akienda makam wa raisi peke yake au waziri mkuu peke yake haitosho?huu ni ulimbukeni,au hawana kazi za kufanya,ndio maana tunazidi kuwa maskini.
Pinda anaonekana kama anaona aibu na kusema ndio mzee..................