JK unaogopa ya Egypt na Tunisia? Mara ngapi watanzania wamepata nafasi kupeleka hoja bungeni? JK, ullishaona tangu lini wabunge wa CCM wakiongelea kitu kinaitwa "issue za wananchi bungeni?" Kweli CCM ni jopo la maji machafu. Hata mfanyaje, maandamano yanakuja na JK utaondoka tu kabla ya 2015. Badala ya kuzungumzia watuhmiwa EPA, Radar, Richmond, Dowans, Arusha wanakwenda lini jela unapoteza muda wako. Nenda Saudi...