Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,215
Katika hiyo red ndilo la muhimu. Ni kweli kesi hiyo inaweza isiwe na nguvu yeyote kisheria ila ujumbe huo ni mkuu na unaweza kumharibia sana mkulu kisiasa.Tatizo hapa hamna kesi, hatujaonyeshwa sharti lililovunjwa na huyu bwana akiambiwa ahakikishie mahakama ni jinsi gani safari za JK zinafuja mali ya umma ni vigumu sana kuonyesha, hasa kwa sababu ni vigumu kuchanganua kwa uhalisi safari za raisi zinafanya kazi gani hata zile tangible tu, ukiachilia mbali zile intangible ambazo ndiyo kabisa kuzi quantify ni vigumu.
System yenyewe haina transparency, evidence yote iko classified hata ile isiyostahili, rais yuko juu ya sheria halafu yeye ndiye anayechagua majaji wote na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi. Unategemea nini ?
Kesi inaweza kuburudisha watu, kuonyesha watu walivyochoka na kutoa msukumo wa kumpinga JK, lakini haina legal merit.
Legal merit, which is quite different from merit period. The law is an a.s.s.
It is not what happenned, it is what you can prove happenned.