Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,896
Angejaribu kupambanua namna gani serikali itaingilia kati kupunguza bei, isije ikawa kuwakandamiza wafanyabiashara wadogo na kuwaacha mafisadi papa wakipeta tu.
hapana babu.....you need to check how elastic that demand is,we're talking about food here!!!Hapana...unaposhusha kodi bei hupungua na watu hufanya manunuzi zaidi....kutokana na unafuu wa bei...watu watanunua zaidi(in terms of volumes) na wigo wa kodi kupanda....simple economics...kwa vile VAT sio production cost
Hivi wachumi wanaomzunguka ****** pale magogoni wana kazi gan? Dah bora BEN kuliko huyu mtu...hata kiberiti kushusha bei hawawezi kweli?????????????:A S 13::A S 13:
Huyu jamaa waliopendekeza awe kiongozi wa nchi sijui waliona nini maana hata wizara alizokuwepo kabla ya hapo ameacha maneno mengi sana
Mapato ya nini wakati wa janga? Unataka kusaidia huku unataka kukamua? The two wont work!!hIZI MOVES ZITALIPUNGUZIA TAIFA MAPATO