...understood,na ukifanya utafiti utagundua kuwa pamoja na mapungufu ya utawala wa BWM alijitahidi sana kupanga W.mikoa,Mawaziri,kulingana na taaluma au ozoefu binafsi wa muhusika.Bongolander,
..Prof.Sarungi alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Muhimbili kabla ya kuingia siasa........siyo jambo la ajabu kwa wanasayansi mahiri duniani kujiunga na siasa. Waziri Mkuu wa kwanza wa Israel Prof.Wisemann alikuwa mkemia aliyebobea. Senator.John Glen wa USA ni mwana-anga mashuhuri kabisa duniani. i can go on and on.
..
...Hata ikibidi usalama wa taifa uhusishwe katika tathmini hiyo...."kasi yako mpya" ya kuwashughulikia mafisadi.
My take:Ukishakuwa na System chafu/mbovu,hata uweke Wanazuoni,watu safi namna gani bado watu hao watanuka uchafu tu na kuonekana watendaji wabovu tu!!
...understood,na ukifanya utafiti utagundua kuwa pamoja na mapungufu ya utawala wa BWM alijitahidi sana kupanga W.mikoa,Mawaziri,kulingana na taaluma au ozoefu binafsi wa muhusika.
Mfano:nakumbuka Prof.sarungi alipokuwa RC Pwani, alisaidia sana ilipobidi ktk upasuaji pale Hospitali ya Tumbi zilipotokea ajali ktk barabara ya Morogoro.
-sayansi(engineer)Mwandosya
-Mambo ya Nje(Tourist)JK
-Ujenzi(engineer)Pombe
-Fedha(Wachumi)....,.....keko
-Elimu(Prof.)Kapuya
-RC Dar(Kiranja)Yusufu
-Siasa(P.Scntst.)Mwiruu
-IGP(the beast)Mhitta
-sheria(lawyer)Mzee wa mitemba
'nd on...and on....
My take:Ukishakuwa na System chafu/mbovu,hata uweke Wanazuoni,watu safi namna gani bado watu hao watanuka uchafu tu na kuonekana watendaji wabovu tu!!
Mhh!!Mkuu si unajionea mwenyewe yanayomkuta Dr. hapo??Mwanazuoni safi kabisa,wengi hatukumfahamu kisiasa hadi alipoteuliwa na BWM,lakini kaishia kupewa jina la 'Mzee wa Mikasi',ni mtu safi lakini yu-katika system mbovu mkuu!!!Unaonaje tumshauri muungwana ateue watu wasiojulikana kabisa ili iwe vigumu kuwahusisha na uchafu uliopo hivi sasa?
.....Pombe MagufuriPombe ni engineer??!!
Wakuu Joyce Mapunjo and Blandina Nyoni ni wapambanaji, ni wachapa kazi. Kwa mfano huyu Mapunjo haogopi kumkosoa hata bosi wake inapokuja issues za bla bla. Mama anataka kazi ifanyike na pia anajali sana maslahi ya watumishi wake popote pale alipo. Ikumbukwe kuwa alipokuwa Naibu Katibu Muu Fedha, alidumu pale kwa muda mfupi sana akahamishiwa iliyokuwa Wizara ya Mipango, Uchumi na Uwezeshaji. Kwa hiyo dili nyingi za Wizara ya Fedha naweza kusema hakuhusika hata kidogo ukizingatia hakuwa full PS. Pale Mipango alijitahidi kupanyoosha vilivyo, japo alikuwa Naibu Katibu but she did wonders!!! Ukitaka proof jaribu kumpata mutimishi wa Mipango enzi za Mapunjo atakushuhudia, hata Fedha walikuwa wanampenda sana. Alipohamishwa wengi walisikitika kwani walikubali kuwa wamepoteza mchapakzi ma mtetezi wa maslahi ya nchi na watumishi. Kwa Nyoni nasikia tu ni mchapakazi mzuri na huwa hapendi kulea ubadhirifu na inasemekana alitofautiana na bosi wake katika kupitisha mambo fulani fulani ikabidi ahamishwe maana alionekana kikwazo ila wakashindwa tu kumwondoa katika uandamizi wa serikali kwa kuwa wanaheshimu kichwa chake (akili inachemka) na ni mchapakazi.
Huyu ni kati ya watu waliotetea kufa na kupona kampuni ya NETGROUP. Kumwita ni fighter au mtu wa maadili ni kumwonea, kwa sababu siyo! Kwa vigezo pana vya ufisadi, huyu hawezi kukwepa.
By the way, how is this news "breaking"?
Halisi
Jamani mi namempenda Pat alipambana sana kwenye kashfa ya IPTL, alikataa rushwa wazi wazi. Lakini naona CHADEMA wamemtaja kwenye orodha ya mafisadi. Je, ni kutokana na kuwa mkurugenzi wa TANGOLD iliyoiba fedha za umma? Sasa kwa nini hakupambana kupinga huo ufisadi? Kwa nini alikaa kimya na mpaka leo anaficha ufisadi huo?
Baada ya kutajwa kwenye list of shame alisema atakwenda mahakamani, mbona hajaenda?
Asha
- Another kichwa, saafi sana maana huko Afya kumeoza sana, kunahitaji kusafishwa. na huyu atawasafisha wawe clean.
Hapa kaka ninatofautiana nawe kidogo. Maana huko alipokuwa enzi za Brother BEN kukifumuka itakuwa issue.....