DoubleOSeven
JF-Expert Member
- Jul 5, 2008
- 661
- 143
anaenda kubembea cuba
.... pale CUBA inapatikana dawa flani ya nanihii...
anaenda kubembea cuba
Natamani Mh. Dr. Slaa achukue nchi ili awe rais wa kwanza kutosafiri nje ya nchi, awe rais asiyeomba msaada nje ya nchi, asiyekopa, hakutakuwa na rushwa, mahosipitali yote yatajaa dawa na vifaa, shule zitakuwa na madawati bila kuchangisha wafanyabiashara na wananchi, hakutakuwa na wakwepa kodi, machinga hawatalipa kodi na watafanyia umachinga popote wanapotaka hata kama ni katikati ya barabara na airport, kariakoo igeuke taipei, mfumuko wa bei soko la dunia hautaikumba nchi yetu nzuri, madini tutachimba wenyewe bila kutegemea nchi au makampuni ya kilaghai, vijana tutakua huru kuandamana kufurahia au kulaani jambo bila kuhitaji polisi. Polisi na majeshi yatakuwa katika hali nzuri, mabomuu hayatalipuka hata kwa bahati mbaya/ajali, umeme utawafikia watu wote ndani ya miaka mitano nk.
....baada ya kuongea pumba za jana ..tuko hapa airport ..tunaona JK Anaondoka kwenda nje ya nchi ...anaagana na viongozi wote wakuu pale...sijui kwa nini safari hii kimya kimya......
Hivi kila anaepita Dar aiport anaenda nje ya Bongo?
Ushindwe na Ulegeee. Ebbo!
Hiyo ni ndoto ya mchana kweupeeeeeeeeeee.
Huyo tena ni fisadi namba moja. Ataanza kazi ya kuwanyanganya watu wake zao kwa kutumia nguvu atayopewa ya urais.
Mtasema sana lakini Uzi ni ule ule.Msituletee balaa la Vita nchini kwetu nyie wapenda shari.
kazi ipo kama anapenda kuishi nchi za watu si aondoke na familia yake nani anamtaka,kazi kudandia tu shughuli za mawaziri kwani hakuna waziri husika yaani kwa kupenda kupanda ndege
kasoma alama za nyakati, harudi tena
....baada ya kuongea pumba za jana ..tuko hapa airport ..tunaona JK Anaondoka kwenda nje ya nchi ...anaagana na viongozi wote wakuu pale...sijui kwa nini safari hii kimya kimya......
kaenda loliondo kunywa chai(dawa).nasikia kaonekana huko jana.
Hivi kila anaepita Dar aiport anaenda nje ya Bongo?