mnyanyaswaji
JF-Expert Member
- Nov 10, 2009
- 478
- 117
Wadau wajamvini Habari,
Jamani tuweni makin na post za kupotosha na za udaku, kuna mdau anajijua aliweka post kuwa Kanumba kaagwa mpaka na rais lakin Kiaro na Mkuu wa mkoa, unajua udaku kama huu utapoteza maana halisi ya Great Thinkers. Point yangu hapa si kuleta taarifa ya JK kuongoza mazishi ila kuwaambia wadau wasio na uhakika na info zao halafu wanazimwaga humu. Mbona kuna majukwaa mengi tu ya udaku!!
Nawakilisha.
Jamani tuweni makin na post za kupotosha na za udaku, kuna mdau anajijua aliweka post kuwa Kanumba kaagwa mpaka na rais lakin Kiaro na Mkuu wa mkoa, unajua udaku kama huu utapoteza maana halisi ya Great Thinkers. Point yangu hapa si kuleta taarifa ya JK kuongoza mazishi ila kuwaambia wadau wasio na uhakika na info zao halafu wanazimwaga humu. Mbona kuna majukwaa mengi tu ya udaku!!
Nawakilisha.