kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
Hapo inaelekea hata vikao vya Freemanson vinafanyika pia kwani si tulisikia Diamond ni Freemanson na inawezekana ndo sababu ya kuitwa Magogoni coz ni Mwanachamanimesoma udaku kuwa hata Diamond mchumba wa Wema sepetu eti kaitwa Ikulu naye, sijui kweli, kama ni kweli jamaa anashusha hadhi ya jengo hilo tukufu