Ni kweli Mkuu maana anamwaminisha mwenyekiti wake kuwa mambo yanaenda vizuri kwa kujibu kila kitu cha CDM kumbe siyo hivyo, anakimaliza chama na hii inanikumbusha vita ya Tanzania dhidi ya Uganda 1978, kamanda mmoja wa Idd Amini Maliyamungu kama nakumbuka vizuri alikuwa anampa taarifa Amini kihivyo kuwa mambo yanaenda vizuri kumbe la, ndiyo yanayotokea kwasasa kwa CCM.Nape yu karibu kuumbuka...shikeni maneno yangu
View attachment 62769View attachment 62769
Hili ni gazeti la leo la Ijumaa na habari inadokeza hivi:
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemuita ikulu mwanamuziki anayefanya vizuri kwa sasa kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul Jumaa Diamond Platnumz na kumpa jukumu maalum, Ijumaa linairusha hewani.
Kwa mujibu wa Diamond, juzikati prezidenti alimwita ikulu Magogoni, Dar es Salaam na kumpa shavu la kwenda kufanya shoo kwenye mkutano maalum utakaofanyika Washington DC nchini Marekani hivi karibuni.
Yaa, rais aliniita akaniambia kuna shoo natakiwa kwenda kufanya Marekani
View attachment 62769View attachment 62769
Hili ni gazeti la leo la Ijumaa na habari inadokeza hivi:
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemuita ikulu mwanamuziki anayefanya vizuri kwa sasa kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz' na kumpa jukumu maalum, Ijumaa linairusha hewani.
Kwa mujibu wa Diamond, juzikati ‘prezidenti' alimwita ikulu Magogoni, Dar es Salaam na kumpa shavu la kwenda kufanya shoo kwenye mkutano maalum utakaofanyika Washington DC nchini Marekani hivi karibuni.
"Yaa, rais aliniita akaniambia kuna shoo natakiwa kwenda kufanya Marekani
Jamani hicho kikao kitapunguza bei ya umeme,vyakula,mafuta na mengineyo so saa mbili leteni habari za hicho kikao kama ww ni mhusika
Kwa mara nyingine tena naomba niseme kitendo cha Spika wa bunge kuwa mjumbe wa CC ya CCM kinatia doa kiti cha Spika. Kuwa mjumbe wa NEC ni sawa lakini sio CC. Bunge limeharibika kabisa, kageuza bunge kuwa idara ya serikali na sasa bunge linanuka rushwa kama ilivyo serikalini.
Hili la Spika wa Bunge kuwa mjumbe kwenye kamati ya chama inaleta walakini kwenye utendaji. Ukizingatia kuwa Bunge linaundwa na vyama mbalimbali. Nafikiri kuna haja ya kutafuta namna ya kuchagua Spika wa Bunge kuondokana na maslahi binafsi kwenye chama na uongozaji wa vikao vya Bunge.
Kama umesoma vizuri comment yangu sijaspecify chama chochote. Ndio maana nikasema kuna haja ya kutafuta njia nzuri ya kupata spika ambaye hayupo ndani ujumbe wa chama chake.Kwani chama gani hakimjumuishi spika kuwa mjumbe wa kamati kuu? Soma katiba ya Chadema sura ya saba 7.7.14 (r).
hivi hajenda kwenye mazishi ya meles zenawi..........au mnauongelea JK yupi